Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
CCM ni adui no moja wa elimu ya juu,serikali hi legelege na dhaifu kazi yake kubwa ni kuwagandamiza wanafunzi wa vyuo vikuu kwa kuwanyima haki zao za msingi,ila mwisho wa CCM umefika.
Siyo adui wa elimu tu bali ni adui wa maendeleo ya Taifa hili la Tanzania