Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,059
- 4,055
Tanzania iliathirika vipi na ilinufaika vipi kiuchumi na kiutamaduni na vita baridi kati ya nchi za mashariki na magharibi?
Tanzania iliathirika vipi na ilinufaika vipi kiuchumi na kiutamaduni na vita baridi kati ya nchi za mashariki na magharibi?
Chini ya Mwalimu JKN tuliamua kufuata siasa za Chairman Mao!
Tulipookuwa tunasema hatufungamani na upande wowote tulikuwa tunamaanisha nini?
Tanzania iliathirika vipi na ilinufaika vipi kiuchumi na kiutamaduni na vita baridi kati ya nchi za mashariki na magharibi?