Visual Basic 2008 Turorials!!

Nataka kujua how to code Log in Interface kwa user mbalimbali lets say 50.
Yaani ile window ya User Name______________
Password_______________

Nimejaribu kujipa ka assigment hii kitu nimeweza

Ok sasa huu unaweza kuwa ushauri mzuri na clear zaidi kuliko ule nilitoa mwanzo wa mwanzo. Utahitaji effort na knowledege ndogo tu ya VB ambyo hata mm nimeisahau siku nyingi .

Microsoft wana sample code ya VB na form za kuloign Download details: Visual Basic .NET Code Sample: Create a Login Dialog Box

Kama una Visual Studio ambayo ndani yaki pia ina VB ukidowload hiyo code na kuiifunga Hope utafanikiwa within masaa machache

NB:

Tatizo nililoona ni kwamba solution hii wao wamehifadhi login na password katika XML file na sio kwenye database. Unaweza kuanza kwa solution hiyo ikifanya kazi then unaweza ku replace XML file ili logins zihifadhiwe kiusalama zaidi kwenye database( SQL,ACESS) ambayo italink na VB
 
dah, yaani mkiongea VB mnanichanganya kabisa. Niitia kapuni tangu mwaka 2007 so nakumbuka kwa mbaaali mambo ya Dim

CP, nina knowledge nzuri tu ya Python, sina hakika ni nini kinasumbua, vema ungeanzisha thread, ila naweza chelewa kupost, usijali!

Kuna member amepost tofauti ya Java C and the co. Post yake ina makosa kadhaa ambayo baadhi yake nitayarekebisha. C siyo starter package, ingawa vyuo vingi huitumia kwa wanaojifunza. C inatumika kutengeneza program yoyote, hata OS nying including *nix zimekuwa coded in C. Kwa hiyo C ni full fledged language. Tofauti na Java ambayo ni interpreted na hivyo kuhitaji Virtual machine, c ni compiled kwa hiyo somehow faster than java. Java ni full fledged lakini inahitaji VM kukimbia. c ina run naturally. Java ina support OOP wakati C ni procedural

Anyway, kama alivyosema CP, ngoja tuwaachie VB mavericks thread yenu lol!
 
YeshuaHaMelech nitashukuru sana kwa msaada wako na nitaanza rasmi jtatu. but by the way kwanini uliacha vb. ninavyofikiri mimi sikuhizi uki-attend college / university in beginners programming au unataka kazi., utakuta .NET is the most likely language to be there. In the future, I guess it will be "industry standard".
 
Mtazamaji ananiambia hajaniona nikitoa elimu hapa ok nimeanza na hiii
Haya kwa wale wanaotaka kujifunza serialport
Nitaweka ka simple programme kitachachokuwezesha ku –communicate with serialport
Software hii ina enumerates all available ports automatically na kama kuna Data umeweka kwenye hako ka-textbox basi hiyo data itakuwa transmited kwenye port baada ya kubonyeza button ya Tx (send commands). Na Rx data itarudi na kuwa displayed kwenye textbox kubwa hapo chini. Lakini hii inaweza ikwa modified na mtu yeyote kwa kuongezea DO. While loops inategemea na ni nini unataka ku-communicate
Nimeijaribu na imefanya vizuri kwenye simu 6300. Unaweza jaribu na modem, simu, chochote kile ilimradi usisahau kuweka drivers za unachojaribia.
Send At Command AT nikapata jibu AT OK. Unaweza ukapata details za AT command hapa
http://www.zeeman.de/wp-content/uploads/2007/09/ubinetics-at-command-set.pdf

the source codes : https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=20511&d=1295044798
the exe only: https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=20512&d=1295045164

the codes:


Public Class Form1

Dim comPorts As Array 'Com ports enumerated into here

Dim rxBuff As String 'Buffer for receievd data

Private Sub Form1_Load(ByVal sender As System.Object, ByVal e As System.EventArgs) Handles MyBase.Load

'When the form loads

'Enumerate available Com ports and add to ComboBox1

comPorts = IO.Ports.SerialPort.GetPortNames()

For i = 0 To UBound(comPorts)

ComboBox1.Items.Add(comPorts(i))

Next

'Set ComboBox1 text to first available port

ComboBox1.Text = ComboBox1.Items.Item(0)

'Set SerialPort1 portname to first available port

SerialPort1.PortName = ComboBox1.Text

'Set remaining port attributes

SerialPort1.BaudRate = 19200

SerialPort1.Parity = IO.Ports.Parity.None

SerialPort1.StopBits = IO.Ports.StopBits.One

SerialPort1.DataBits = 8


End Sub

Private Sub Button1_Click(ByVal sender As System.Object, ByVal e As System.EventArgs) Handles Button1.Click

'When Tx button clicked

'Clear buffer

rxBuff = ""

'If port is closed, then open it

If SerialPort1.IsOpen = False Then SerialPort1.Open()

'Write this data to port

SerialPort1.Write(TextBox1.Text & vbCr)

'Pause for 800ms

System.Threading.Thread.Sleep(800)

'If the port is open, then close it

If SerialPort1.IsOpen = True Then SerialPort1.Close()

'If the buffer is still empty then no data. End sub

If rxBuff = "" Then GoTo ends

'Else display the recieved data in the RichTextBox

RichTextBox1.Text = rxBuff

ends:

End Sub

Private Sub ComboBox1_SelectedIndexChanged(ByVal sender As Object, ByVal e As System.EventArgs) Handles ComboBox1.SelectedIndexChanged

'When ComboBox1 selection is changed, we need to update SerialPort1 with the new choise

'But only if the port is closed!

If SerialPort1.IsOpen = False Then

SerialPort1.PortName = ComboBox1.Text

Else : MsgBox("Operation only valid when port is closed.", MsgBoxStyle.Exclamation, "Error")

End If

End Sub

Private Sub SerialPort1_DataReceived(ByVal sender As Object, ByVal e As System.IO.Ports.SerialDataReceivedEventArgs) Handles SerialPort1.DataReceived

'This sub gets called automatically when the com port recieves some data

'Pause while all data is read

System.Threading.Thread.Sleep(300)

'Move recieved data into the buffer

rxBuff = (SerialPort1.ReadExisting)

End Sub


End Class
 

Attachments

  • calvinpower SerialPort.rar
    70.5 KB · Views: 32
  • the project exe.rar
    9.3 KB · Views: 29
CP,
iliniboa mambo kadhaa.
1. Sikuwa na mwalim mzuri, si Unajua mambo ya DIY? Nilikuwa na kitanu lakini M$ wanauza ile pro version. Halafu .NET kipindi hicho haikuwa famous tech.

2. Niligundua Python, simple, powerful, clean syntax and free! python was my best friend. Then nikajifunza PHP, Java, C/C++, .NET (mono) kidogo, et al. So sioni sababu ya kujifunza VB wakati niko comfortable na language soooo powerful like C++!
 
dah, yaani mkiongea VB mnanichanganya kabisa. Niitia kapuni tangu mwaka 2007 so nakumbuka kwa mbaaali mambo ya Dim

CP, nina knowledge nzuri tu ya Python, sina hakika ni nini kinasumbua, vema ungeanzisha thread, ila naweza chelewa kupost, usijali!

Kuna member amepost tofauti ya Java C and the co. Post yake ina makosa kadhaa ambayo baadhi yake nitayarekebisha. C siyo starter package, ingawa vyuo vingi huitumia kwa wanaojifunza. C inatumika kutengeneza program yoyote, hata OS nying including *nix zimekuwa coded in C. Kwa hiyo C ni full fledged language. Tofauti na Java ambayo ni interpreted na hivyo kuhitaji Virtual machine, c ni compiled kwa hiyo somehow faster than java. Java ni full fledged lakini inahitaji VM kukimbia. c ina run naturally. Java ina support OOP wakati C ni procedural

Anyway, kama alivyosema CP, ngoja tuwaachie VB mavericks thread yenu lol!

Thanks for the marekebisho.
 
Guys I'm really interested in the whole programming stuff. So you guys plz nisaidieni I mean, which language is the best?(not easy 'coz I'm after the greatest not easiest)
 
Back
Top Bottom