Visiwani wataka pasu kwa pasu vinginevyo muungano uvunjwe

kakojoe ww kwanza kwa chuki zako juu ya uislam, hata hivyo ndugu zako waislam twakupenda sana.. hatuna chuki na nyie msietupendag
Haaaa haaaa! Kama mnawapenda Wakristo "sana" kwa nini unawasingizia kuwa waliasisi Muungano huku ukijua ndani ya nafsi yako si kweli? Ukijadili hoja kijinga utapata majibu yanayoendana na ujinga wako!
 
Haaaa haaaa! Kama mnawapenda Wakristo "sana" kwa nini unawasingizia kuwa waliasisi Muungano huku ukijua ndani ya nafsi yako si kweli? Ukijadili hoja kijinga utapata majibu yanayoendana na ujinga wako!
ok nimekubaliana na hoja yako kwa kuwa unanilazimsha. hebu nambie tanganyika inafaidika nn na muungano huu?
 
kafika dodoma kwa sababu ya hila zenu, fika zenj fanya karesearch kadogo ndo utajua kama mungano unatakiwa au la. zanzibar bila tanganyika ni dubai.. na hilo mwalijua tatizo roho mbaya dhidi ya uislaam. kama vipi si uvunjike kwa nn mwaunganganiaaaaaa
Zanzibar bila Muungano ni sawa na Somalia (Unguja) na Somaliland (Pemba)! Mnafikiri Dubai ni wanywa kahawa kama nyinyi? Pole sana Baiskeli, ulivyo short sighted, kwani kule Mirembe umeruhusiwa tangu lini?
 
ok nimekubaliana na hoja yako kwa kuwa unanilazimsha. hebu nambie tanganyika inafaidika nn na muungano huu?
Inakuwa na usalama dhidi ya magaidi! Hatutaki Al Shabaab, Al Qaeda, etc waje kujifanyia makao mlangoni kwetu! After all tulivyoungana Zanzibar ilishakufa kisheria kama nchi, sasa mjadala wa kuvunja nchi unafikiri ni jambo la kuchezea hapa JF? Njia ya Kisheria ya kuvunja Muungano SI KULALAMIKA bali ni kupeleka hoja Bungeni, then ipigiwe kura na pande zote mbili (theluthi mbili kwa theluthi mbili), then Muungano utakapovunjika kwa amani! Kinyume cha hapo ni uhaini!
 
Mbona kwenye hotuba yake alidai kuwa kuna watu wanafikiri kujitenga "kwa sababu ya ulevi wa madaraka!" Je, hao watu aliwaweka ndani? Vitu vingine unaropoka tu ndugu!

Labda wewe unajua vizuri historia ya huko nyuma, Mwinyi alipokea uraisi wa Zanzibar toka kwa Abood Jumbe kupitia uchaguzi au nini? Na aliyekuwa Waziri Kiongozi wa Abood Jumbe nini kilimtokea na kwa sababu gani?
 
ungekuwa unajua lengo la muungano ni nn usingelopoka.. muungano ulitengenezwa na nyinyi wakristo kuupitia chama chenu cha magamba kuubana uislaam. kama si hivyo si muuvunje?? kwa nn mwaunganganiaaa? na enyi wenu waislaam mnaotetea muungano kwa kupewa pesa na tuvyeo siku zenu zahesabika.

Nyote wawili, Baiskeli na Humphnicky ni EXTREMISTS hamfai katika ustawi wa jamii isiyo na matabaka ya rangi, kabila wala dini. Nyote wawili ni wa-kuogopwa na kukemewa, leteni hoja zenye mantiki na si kupanda mbegu za UDINI; your comments are outrageously disgusting, aaarrrrgggghhhhhhh!!!!
 
Labda wewe unajua vizuri historia ya huko nyuma, Mwinyi alipokea uraisi wa Zanzibar toka kwa Abood Jumbe kupitia uchaguzi au nini? Na aliyekuwa Waziri Kiongozi wa Abood Jumbe nini kilimtokea na kwa sababu gani?
All right, siasa za 1984 si za sasa, ndio maana Nyerere alivunjiwa Azimio lake la Arusha alibaki kuongea tu na hakufanya chochote kulazimisha liwepo! In the same vein Nyerere asingeweza kuwafanyia lolote wapinzani wa Muungano hata kama hawapendi kiasi gani! After all alishaondoka madarakani, kwa hiyo kufikiri kwamba angefanya lolote la kuwaweka kwenye "house arrest" wakati hakuna chombo chochote cha ulinzi na usalama kilicho chini yake ni uwongo mkubwa!
 
kafika dodoma kwa sababu ya hila zenu, fika zenj fanya karesearch kadogo ndo utajua kama mungano unatakiwa au la. zanzibar bila tanganyika ni dubai.. na hilo mwalijua tatizo roho mbaya dhidi ya uislaam. kama vipi si uvunjike kwa nn mwaunganganiaaaaaa

Hivi vyie kwa akili zetu mnafikiri bara kuna anayeutaka muungano? Wizara ya mambo ya ndani sio chombo cha Muungano lakini amewekwa Nahodha nyie mna roho hiyo? Serikali ya Mapinduzi ipo ina bajeti yake, inawataalam wake wa uchumi. Ni lini serikali yenu ilifanya magaeuzi ya kiuchumi bara ikakataa? Sisi wenzenu tuna madini, tuna vyanzo vya maji, tuna ardhi kubwa ajabu, tunamito, tuna reli, tuna mbuga za wanyama, tunamilima mirefu maarufu duniani, tuna makampuni makubwa ya uwekezaji, tuna maziwa makubwa, tunaviwanda vya kila aina, tuna makaa ya mawe, tuna idadi kubwa ya wasomi n.k nyie mna nini zaidi ya karafuu? hizo ndiyo mnategemea ziwabadilishe muwe kama dubai? NDOOOOOOOOOOTO!!!!
 
Nyote wawili, Baiskeli na Humphnicky ni EXTREMISTS hamfai katika ustawi wa jamii isiyo na matabaka ya rangi, kabila wala dini. Nyote wawili ni wa-kuogopwa na kukemewa, leteni hoja zenye mantiki na si kupanda mbegu za UDINI; your comments are outrageously disgusting, aaarrrrgggghhhhhhh!!!!
Hawa hawana tofauti na wanamagamba wasiokuwa na upendo na nchi yetu! Wao wanafikiri wakiwabagua wenzao basi mvua ya dhahabu itanyesha na watakuwa matajiri soon!
 
Hivi vyie kwa akili zetu mnafikiri bara kuna anayeutaka muungano? Wizara ya mambo ya ndani sio chombo cha Muungano lakini amewekwa Nahodha nyie mna roho hiyo? Serikali ya Mapinduzi ipo ina bajeti yake, inawataalam wake wa uchumi. Ni lini serikali yenu ilifanya magaeuzi ya kiuchumi bara ikakataa? Sisi wenzenu tuna madini, tuna vyanzo vya maji, tuna ardhi kubwa ajabu, tunamito, tuna reli, tuna mbuga za wanyama, tunamilima mirefu maarufu duniani, tuna makampuni makubwa ya uwekezaji, tuna maziwa makubwa, tunaviwanda vya kila aina, tuna makaa ya mawe, tuna idadi kubwa ya wasomi n.k nyie mna nini zaidi ya karafuu? hizo ndiyo mnategemea ziwabadilishe muwe kama dubai? NDOOOOOOOOOOTO!!!!
Kama wameshindwa hata kulipia umeme hiyo ndoto ya ki-Dubai inatoka wapi?
 
Mbona mabadiliko ya 10 ya Katiba ya Zanzibar, 1984 yanaitaja Zanzibar kuwa ni nchi? Na kama hawataki Muungano kwa nini wanafanya kazi za kuajiriwa kwenye Wizara na Idara zisizo za Muungano? Je, Bungeni huwa wanatoka nje ya Bunge kunapokuwa na mjadala wa Wizara isiyo ya Muungano? Au Wazanzibari wanapodai kwamba "hatutaki Muungano" huwa wanamaanisha nini hasa?

Yule mbunge aliyetoa wazo la kuvunja Muungano aanze kwa kukataa Posho then atoke mjengoni pia ieleweke kuwa Muungano haujawahi kuzuia Zanzibar isifanye mambo ya maendeleo jamani? Mbona hivyoooo! Hata sisi watu wa bara tumechoka ni heshima tu ya mwalimu Nyerere ndiyo inayofanya hii kitu iwepo! ndiyo maana hata CUF na CCM walipofanya muafaka hakuna mtu wa bara aliyehoji maana hiyo ni nchi nyingine na serikali nyingine! sijajua tatizo la watu wa Zanzibar kuwa ni nini. Siri ya mafanikio ni kujituma, fanyeni kazi jamani. hata sisi tumechoka tunashindwa jinsi ya kuanza!!!!!
 
Zanzibar ikijtenga na sisi wa2 wa kanda ya ziwa 2najitenga,2naenda kuanzisha taifa le2 huru..hamna haja ya kuwa kwenye linchi lisilojali wananch wake.
 
Mbona mabadiliko ya 10 ya Katiba ya Zanzibar, 1984 yanaitaja Zanzibar kuwa ni nchi? Na kama hawataki Muungano kwa nini wanafanya kazi za kuajiriwa kwenye Wizara na Idara zisizo za Muungano? Je, Bungeni huwa wanatoka nje ya Bunge kunapokuwa na mjadala wa Wizara isiyo ya Muungano? Au Wazanzibari wanapodai kwamba "hatutaki Muungano" huwa wanamaanisha nini hasa?

Big up, iweje wabunge wa visiwani wapigie kura mambo ya wabara katika wizara zisizo za Muungano?
 
Yule mbunge aliyetoa wazo la kuvunja Muungano aanze kwa kukataa Posho then atoke mjengoni pia ieleweke kuwa Muungano haujawahi kuzuia Zanzibar isifanye mambo ya maendeleo jamani? Mbona hivyoooo! Hata sisi watu wa bara tumechoka ni heshima tu ya mwalimu Nyerere ndiyo inayofanya hii kitu iwepo! ndiyo maana hata CUF na CCM walipofanya muafaka hakuna mtu wa bara aliyehoji maana hiyo ni nchi nyingine na serikali nyingine! sijajua tatizo la watu wa Zanzibar kuwa ni nini. Siri ya mafanikio ni kujituma, fanyeni kazi jamani. hata sisi tumechoka tunashindwa jinsi ya kuanza!!!!!

Kwani wabara waliua zao la karafuu lililokuwa uti wa mgongo wa uchumi wa zanzibar? Wagosha wanazidi chanja mbuga kuzalisha pamba wazenj wakajisahau na Muungano na kuua karafuu hao wametugeuka eti tumewameza, tukiwatapika mtaanza kulalamika tumewaacha.
 
Mtoto akitaka wembe mpe,vunja muugano halafu tuangalie nani atamuomba mwenzie chumvi.
 
Mbona kwenye hotuba yake alidai kuwa kuna watu wanafikiri kujitenga "kwa sababu ya ulevi wa madaraka!" Je, hao watu aliwaweka ndani? Vitu vingine unaropoka tu ndugu!
We mwongo,kwenye hotuba yake alimaanisha inaweza ikatokea watu kama hao, na hata kama alimaanisha unavotaka wewe-unajua ilikuwa ni mwaka gani? je alikuwa bado rais? tumia akili na fanya utafiti kabla hujaropoka.
 
Sijui huu niuite unafiki,majungu, uongo au nini sijui. Inavyoelezwa na tunavyoaminishwa wazanzibar wengi kama siyo wote hawautaki muungano, sasa hawa wabunge wao nani amewafunga kamba na kuwalazimisha kwenda Dodoma? Kwa sababu wana umoja ktk hili why wasikubaliane kutokuja Dom? Kwanza hapo Dom wanamwakilisha nani? Wasipokuja watafungwa? Wao wangerahisisha tu haya mambo wasije huku bara kwa sbb hawautaki muungano full stop. Au labda wanafata posho, maana hao jamaa na wale wa magamba kwa posho hawajambo!
 
miongoni mwa sababu za kuvunja muungano, 1 ni mauaji waliofanya kina john okello kwa ndugu zetu chini ya kivuli cha mapinduzi...wasomi watakuelezeni nyinyi vichogo john okello ni nani!..chengine mujiwe kudharauliwa machogo makafiri ndo chanzo cha kutoendelea kwa z'bar...muungano umekufa km hao mafisadi waliouziana nchi tena uvunjwe...ha2uutaki
 
Hawa wazenji utadhani twawalazimisha kuwapo ktk muungano duh! Kazi kweli kweli!
 
Back
Top Bottom