Mwishoni mwa mwaka jana tulimwona na kumsoma Mzee Sabodo kwenye vyombo mbalimbali vya habari kuwa ametoa msaada ili kufanikisha uchimbaji wa visima wa maji.
Takribani visima 700 na kama sikosee ilikuwa walau kila Wilaya ipate kisima. Baadae kidogo Prof. Mwandosya alienda kumshukuru Mzee Sabodo kwa msaada wake na alipewa nyongeza ya visima 10 - hivi vikiwa mahsusi kwa eneo analotoka Mwandosya.
Sasa, kuna mtu yeyote anajua nini kimefanyika?
Kazi imeanza?
Na kama imeanza vi wapi visima?
Kama bado kwa kwanini?
Takribani visima 700 na kama sikosee ilikuwa walau kila Wilaya ipate kisima. Baadae kidogo Prof. Mwandosya alienda kumshukuru Mzee Sabodo kwa msaada wake na alipewa nyongeza ya visima 10 - hivi vikiwa mahsusi kwa eneo analotoka Mwandosya.
Sasa, kuna mtu yeyote anajua nini kimefanyika?
Kazi imeanza?
Na kama imeanza vi wapi visima?
Kama bado kwa kwanini?