Visima vya Mzee Sabodo viko wapi?

FJM

JF-Expert Member
Apr 11, 2011
8,081
6,198
Mwishoni mwa mwaka jana tulimwona na kumsoma Mzee Sabodo kwenye vyombo mbalimbali vya habari kuwa ametoa msaada ili kufanikisha uchimbaji wa visima wa maji.

Takribani visima 700 na kama sikosee ilikuwa walau kila Wilaya ipate kisima. Baadae kidogo Prof. Mwandosya alienda kumshukuru Mzee Sabodo kwa msaada wake na alipewa nyongeza ya visima 10 - hivi vikiwa mahsusi kwa eneo analotoka Mwandosya.

Sasa, kuna mtu yeyote anajua nini kimefanyika?

Kazi imeanza?

Na kama imeanza vi wapi visima?

Kama bado kwa kwanini?
 
Wewe uko wapi?
unatumia visima?
maana usije kua una uliza viko wapi wakati huko uliko
unatumia maji ya bomba 24/7,...
walio ahidiwa wanajua mchakato ulipo fikia,..
After all,sobodo hadaiwi na mtu kwamba akishindwa kuchimba atashitakiwa!

Nilitegemea utauliza,meli alizo ahidi kikwete ziko wapi?
kigoma imesha kuwa kama dubai?
machinga complex nyingi dar ziko wapi?
maisha bora yako wapi?

Msimsumbue sobodo wa watu,akitaka atachimba asipotaka ataacha na
hana deni!
 
Wewe uko wapi?
unatumia visima?
maana usije kua una uliza viko wapi wakati huko uliko
unatumia maji ya bomba 24/7,...
walio ahidiwa wanajua mchakato ulipo fikia,..
After all,sobodo hadaiwi na mtu kwamba akishindwa kuchimba atashitakiwa!

Nilitegemea utauliza,meli alizo ahidi kikwete ziko wapi?
kigoma imesha kuwa kama dubai?
machinga complex nyingi dar ziko wapi?
maisha bora yako wapi?

Msimsumbue sobodo wa watu,akitaka atachimba asipotaka ataacha na
hana deni!


@ Speaker nimeuliza hili kwa sababu nina wasiwasi Prof. Mwandosya anaweza akawa anatekeleza kwa utashi wa kisiasa. Kwamba visima vinaweza kuchimbwa kwenye majimbo yanayoongozwa na ccm tu! upo hapo?
 
@ Speaker nimeuliza hili kwa sababu nina wasiwasi Prof. Mwandosya anaweza akawa anatekeleza kwa utashi wa kisiasa. Kwamba visima vinaweza kuchimbwa kwenye majimbo yanayoongozwa na ccm tu! upo hapo?

Mbona huhoji na zile alizowapa CDM wamefanya nini?
 
Mbona huhoji na zile alizowapa CDM wamefanya nini?


Zilikuwa kusaidia elimu ya uraia nadhani hata wewe mwenyewe utakubali 'ILMU' inanoga i.e magamba na sasa watu wako Dodoma kwa semina elekezi. na bado!
 
@ Speaker nimeuliza hili kwa sababu nina wasiwasi Prof. Mwandosya anaweza akawa anatekeleza kwa utashi wa kisiasa. Kwamba visima vinaweza kuchimbwa kwenye majimbo yanayoongozwa na ccm tu! upo hapo?

Mimi huwa nachoka kabisa nikiona kiongozi tena wa serikali anaongelea visima maeneo kama ya ilala, mwanza mjini ,bukoba ,musoma

Yanii nikiona watu wa mjini wanaongela visima najiuliza wale wa mwanerumango singida na dodoma waongelee nini?
 
Tuko mwezi wa tano tu baada ya yeye kuaidi sasa mnataka yeye aanze kuchimba bila mipango!!!. Vitu vinachukua muda hasa kama pesa ni ya mtu binafsi maana hataki pesa iende kwa mafisadi wa serikali tena. Anataka kusimamia mwenyewe visima!! Mpe muda ni pesa yake na atafanya kwa muda wake hili sio deni kwa mtu yeyote na Watanzania wengine mnatakiwa kujitolea badala ya kupiga domo siku nzima
 
Back
Top Bottom