Virusi vyatumika kutibua mpango wa nuklia wa irani

Byendangwero

JF-Expert Member
Oct 24, 2010
871
56
Leo asubuhi Voice of America ilitangaza kwamba Israel, Pengine kwa kushirikiana na Marekani imefanikiwa kupandikiza virusi kwenye kompyuta zinazotumiwa na Irani kuendeleza mpango wake wa nuklia, na kwamba virusi hivyo vimeutibua mpango huo, kiasi cha kuurudisha nyuma kwa takribani miaka isiopungua mitano.
 
Wenzetu wana kazi jamani.
Mambo ya teknolojia nayo wasije wakashangaa hivyo virusi vikaspeed up mpango mzima.
 
Walipandikizeje wakati zile computer wala hata hazi connected na net? Eti wataalam mtu anaweza ingiza virus kwenye closed circuit LAN?
 
Leo asubuhi Voice of America ilitangaza kwamba Israel, Pengine kwa kushirikiana na Marekani imefanikiwa kupandikiza virusi kwenye kompyuta zinazotumiwa na Irani kuendeleza mpango wake wa nuklia, na kwamba virusi hivyo vimeutibua mpango huo, kiasi cha kuurudisha nyuma kwa takribani miaka isiopungua mitano.

This thread should have been posted in the International Forum.
 
Huu mpango wa nyuklia unasababisha maisha magumu kwa raia wa kawaida wa Iran. Makampuni mengi ya kigeni yaliyokuwa yamewekeza kwenye mafuta yamesimamisha miradi mingi kutokana na vikwazo kutoka kwa mataifa mengine. Kimsingi Iran inautajiri mwingi sana wa mafuta na gesi kama wakiamua kusimia kwa umakini wanaweza kuwa taifa tajiri sana. Kwa huu usumbufu unaoletwa na mataifa makubwa ni afadhali Iran iachane na huu mradi iwekeze zaidi kwenye mafuta na gesi then baadae wakisha simama kiuchumi kama matifa mengine ya mangaribi watakuwa na jeuri ya kuwekeza kama mataifa hayo.
 
Kuna sababu gani ya msingi kuwazuia kuwa na nuclear ukizingatia adui yao mkubwa Israel tayari anamiliki nuclear??
 
Back
Top Bottom