Joweba
Senior Member
- Aug 13, 2015
- 166
- 87
Mimi siku ya kwanza kupanda ndege nilikuwa nasafiri Dar kwenda Moshi,Mojawapo ya huduma zilizokuwepo ilikuwa mgao wa bia mojamoja kwa anayehitaji!Nikanywa kwa mapozi nilifikiri nipo kwenye bar! ghafla bia hata haijafika hata robo. Nikadikia tangazo "abiria wote fungeni mikanda ndege inatua"kumbe ilikuwa safari ya nusu saa -dk 45.Niliaibika.
hahhahah......poleee!