Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
kuna st government schools ambazo hakuna kilimo kabisa, i can witness for that.
ila pozi lenyewe linalipa kiasi chake, hehehe oaoa:lol:
hizo labda za mujini hizo
hivi jembe linashika hivi jamani ..nadani hakuna ambaye hajawahi kulima especially kama ulipitia st government school
View attachment 45358
hapa tunaibiwa live
mbunge wa Ludewa
Inategemea na definition yako ya mjini. Nadhani ilitegemea na hali ya hewa, kuna sehemu mvua ina-beep tu
Jina lake Filikunjombe...ACADEMIA wapi na wapi?
Aah! Yule ambaye akina wenje walitaka kumtandika makofi nje ya ukumbi wa bunge. Bonge ya shololo!