Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,337
- 113,179
- Thread starter
- #21
Nitonye, kwanza sitaweza kuchukua maoni yote au ya wote. Pili ni lazima nitachagua yale ambayo ni fit for public consuption ndio nitayatumia. Hata yawe mazito vipi nitayatoa ila lazima nichague kwa makini kwa sababu kwenye broadcast media, nikiweka madudu wenye TV na Redio zao hawatarusha.Ahsante kwa ufafanuzi wako, ila kama unavyojua JF maoni yake ya member wake ni mazito, je utaweza kuyasoma yote bila woga wowote au ndio utakuwa unatoa yale mepesi? Na je kwenye hicho kipindi cako utakuwa unaalika watu wa aina gani? achilia wale wa JF.