Huwa najiuriza baada ya itv kupata zile comment katika vile vipima joto majibu yake huwa yanapelekwa wapi(kwa watendaji gani na kwa hatua gani?)
au ni kuwa sumbua watanzania tu na kama ni hivyo basi ni wizi watu wnatumia vocher kujibu
wana JF hili limekaaje?
au ni kuwa sumbua watanzania tu na kama ni hivyo basi ni wizi watu wnatumia vocher kujibu
wana JF hili limekaaje?