BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,009
Hii nayo kali ama kweli madaraka ni matamu!mtu waziri bado unataka tena uenyekiti!si ungeridhika tu na nafasi ya uaziri ili ufanye kazi zako kwa ufanisi!sasa UWT nako anataka!
FL, Mafisadi na uroho wao hawajali kujirundikia vyeo chungu nzima hata kama kazi za hivyo walivyo navyo zinawashinda. Mjumbe wa NEC, Mjumbe wa CC, Waziri wa utetezi wa mafisadi, Mbunge wa kuteuliwa, n.k. n.k. Mafisadi hawatosheki!!!