William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,374
Wanagombea mabwana tu hakuna lolote
Mkuu muogope Mungu kidogo, Mama Janeti umri alionao kweli anaweza kugombea wanaume?
Wakati mwingine tuwe na heshima kidogo na viongozi wetu wa taifa na hasa watu wazima kama huyu mama.