Ndugu wana Jf nimekuwa nikipata shida sana kwanin tume hii imeshindwa kutoa nafasi sawa kwa wananch wote kupiga kura na kumchagua wampendaye ili awawakilishe.Nakumbuka 2010
> wanafunz wa vyuo walinyimwa kupiga kura makusud
>watu weng walikosa majina yao vituoni,
>chaguz ndogo mathalan Igunga,uzin, daftari la kudumu la wapiga kura halikuwa updated.Pia uchaguz wa April wa Arumeru hakuna mpango wa kuupdate daftar la wapiga kura je hakuna waliokufa? Je walokuwa na miaka 16 2010 hawana haki? Waliosafiri? Je wanaharakati mko wap katika hili? Au bado tume inafanya kwa ajil ya bosi wao? Where is your independence?
Nawakilisha
> wanafunz wa vyuo walinyimwa kupiga kura makusud
>watu weng walikosa majina yao vituoni,
>chaguz ndogo mathalan Igunga,uzin, daftari la kudumu la wapiga kura halikuwa updated.Pia uchaguz wa April wa Arumeru hakuna mpango wa kuupdate daftar la wapiga kura je hakuna waliokufa? Je walokuwa na miaka 16 2010 hawana haki? Waliosafiri? Je wanaharakati mko wap katika hili? Au bado tume inafanya kwa ajil ya bosi wao? Where is your independence?
Nawakilisha