Keynes
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 533
- 89
Jamani wana JF na wana jukwaa la siasa naomba kuuliza.
Je ofisi ya makamu wa rais imehamishiwa kwenye mbuga za wanyama siku hizi??...Maana tangu mwezi wa 12 mwaka jana vyombo vya habari vinaripoti yupo ziarani kwenye mbuga za wanyama na wakeze wawili!!
Je hii ndo ilikua sababu ya kugombea umakamu wa raisi? Miaka yote alikua kwenye uongozi hakupata fursa za kutembelea mbuga?? Mzee tunakuhitaji ofisini utatue matatizo ya nchi...loh!!!!
Je ofisi ya makamu wa rais imehamishiwa kwenye mbuga za wanyama siku hizi??...Maana tangu mwezi wa 12 mwaka jana vyombo vya habari vinaripoti yupo ziarani kwenye mbuga za wanyama na wakeze wawili!!
Je hii ndo ilikua sababu ya kugombea umakamu wa raisi? Miaka yote alikua kwenye uongozi hakupata fursa za kutembelea mbuga?? Mzee tunakuhitaji ofisini utatue matatizo ya nchi...loh!!!!