Na bado tutafanya maandamano kila mkoa hapa Tanzania kwani ni haki yetu kisheria. Tunafanya maandamano ya amani na yenye ujumbe wenye ukweli kwa Watanzania. Kwa maandamano tuliyofanya huko mikoa ya kaskazini tumevunja amani?. Uchafu wao unawekwa wazi wanaona aibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.