Wakuu naomba kuuliza swali la ufahamu. Hivi ukiwa na line ya mobili phone ya TTCL ukiipiga TTCL land line gharama inakuwaje?. Hii ni kwa sababu Kampuni ni moja ila tofauti ni kati ya mobile na land line usage.
Hii ni kwa sababu nina matumizi mengi sana ya Land line sasa nataka kuamua kununua land line au TTCL mobile phone. Naomba ushauri wenu.
Mwambie na huyo boss wako aache mambo ya before Uhuru.
ninaweza lakini itakuja kukupa matatizo kwani bill itakuwa kubwa na watatress watagundua namba zilizopigwa alafu mbona mitandao yote wamepunguza bei sana
Bado nimesubiri msaada wenu wana jf. Reply hizi hazijakidhi matakwa yangu.