DOWANS ni ya wakubwa kaka! Kwa umbeya uliopo ni kwamba Tanesco sasa wako hoi tayari wameanza kukusanya Bil 94 ili kumlipa dowans hata kabla ya mahakama kuu kuisajili award yao toka kwa ICC. Kisheria dowans wanatakiwa kulipwa baada ya ile award kusajiliwa na Mahakama kuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.