Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,719
Mkuu Mzizimkavu naomba nisijibu somo analopata mjukuu wangu hapa. Huyu alifaa akikua awe kama yule shehe anayebwabwaja na neema za wanawake wanene. Inaonekana wazazi wake walimu expose kwenye mavituz na totoz before time. Acha nipige usingizi mkuu tutatouch base sometimes next time.