Noti mpya tz
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 974
- 244
Watz wenzangu,
Naomba kujua hali za hawa wabunge wetu, je, wamesharudi tanzania wote au bado wako matibabuni? Na vipi hali zao maana imekuwa kimya sana hatupati updates zao mara ya mwisho nilisikia Zitti alitarajiwa kufaniwa OP na Mwakyembe mara ya mwisho nilisikia aliahidi akirudi atakuja kupasua jipu, Mandosya yeye ndo sina habari zake kabisa.
Naomba mnijuze wale amabo mna habari mpya zinazowahusu hawa watu..
Naomba kujua hali za hawa wabunge wetu, je, wamesharudi tanzania wote au bado wako matibabuni? Na vipi hali zao maana imekuwa kimya sana hatupati updates zao mara ya mwisho nilisikia Zitti alitarajiwa kufaniwa OP na Mwakyembe mara ya mwisho nilisikia aliahidi akirudi atakuja kupasua jipu, Mandosya yeye ndo sina habari zake kabisa.
Naomba mnijuze wale amabo mna habari mpya zinazowahusu hawa watu..