Jamani wakuu nilikuwa natumia moderm ya airtel nikawa napata mb400 kwa sh.2500. Lakini hivi karibuni nilinunua line nyingine kwa ajili ya moderm lakini nilipotaka kujiunga na bandle ya mb400 kw shs.2500 nimekuta ipo bundle ya 150m kwa shilingi.2500. Nimeshindwa kuelewa hivi ile bundle ya mb400 haipo tena kwa shilingi 2500?