Vipeperushi, fulana za kususia sensa kwa waislam zasambazwa

Status
Not open for further replies.
Kunihesabu nataka hela,tanesko wamepiga bingo,mimi bado nitaipenda ccm lakini dini yangu ni ya kwanza.
 
siwez kubeza msimamo wa walio weng tena wenye akili tman..nazan wana tja wazngatiwe...ndo muone umuhmu wa kubadl mfumo 2015
 
Shossi,
Umeadimika sana mkuu.


Nipo mkuu nimeona comment ya Chadema kuisema dini ilhali ina viongozi wake nashindwa kuelewa kuna uhusiano gani kati ya asasi hizi mbili. Halafu watu wakisema kuwa kuna uhusiano members wanakuja juu na kusema mbona Zitto mwislamu?

Kama Zitto mwislamu ameshawahi kusema kero ya waislamu bungeni kama alivyofanya Lisu kwa wakristo wa Zenji? Amefanya kwa maslahi ya chama au yake binafsi?
 
Hizo fedha walizotumia kutengeneza vipeperushi kwanini wasiboreshe shule zao? au wasitengeneze vipeperushi vya kuhamasisha watoto wapelekwe shule? Haya ni matumizi mabaya ya akili na fedha!

hata MoU ni matumizi mabaya ya akili na pesa za umma
 
Lengo la sensa ni kwamba serikali kujua idadi kamili ya watu hili iweze kuwahudumia vizuri(kupeleka huduma za jamii),lkn cha kustaajabisha hapahapa dsm tu umeme sehemu nyingine haujafika,shule hakuna mwanafunzi anatembea km 10,hospital hakuna mtu anaenda kijiji kingine kutibiwa,wamam wanajifungulia nyumbani,madawa hakuna,barabara hazipitiki,not tarmac,vumbi makorongo mtindo m1,maji hakuna,Sasa kuna faida gani ya kuhesabiwa wakati serikali hawatimizi lengo la sensa? Naungana na waiislamu na mie sitohesabiwa nishawaambia jirani zangu kwamba mie nahesabiwa mkoani kwetu khyo wakija watu wa sensa wasiniweke kabisa!

Hata mm ningewaunga mkono KAMA madai yao yangeelemea kwenye "umuhimu" wa sensa! Lakini wao kwako na kipengele cha "DINI". Kwa mara ya kwanza kabisa nikiwa mtanzania, nimeanza kujitambua kwa dini na kujitofautisha na wengine kwa dini. Hii si sawa, co-existence ya dini imeanza kuharibiwa!!
 
NJOONI MUWATOE WAISLAM WENZENU KWENYE MAKARATASI YA KUHESABIA SENSA KWANZA. Ndo Tutajua kuwa NYIE mtagoma na mtasusia SENSA

LA SIVYO NI KELELE TU Mnapiga.

hao wanasaka tonge tu na hizo nafasi kwa asilimia 80 ni wanapewa wagalatia wenye nchi hii.
 
Waislam wa bara walisahau historia ya dini yao,Mtume wao alifanya mapinduzi ya vita kutoka mstuni na kuingia mji wa mecca..wao walifikiria uislam ni kuvaa kanzu na kufuturu usiku kucha.
 
Ndo huu uwezo wa ki-madrasa unaowadumaza sana ndugu zangu, mimi nimesema hivi wewe unajibu vile ni heri usinge ni-quote ingeleta maana kidogo kwamba unaanzisha sub-topic, kwa taarifa yako uwezo huu wa kujibu hoja ndiyo unaowafanya muwe mnafeli sana shule alafu mnalia eti mpewe upendeleo maalumu kama ilivyo kwa wanawake na watoto katika maswala ya tiba.


Nyodo hujibiwa kwa nyodo. Wewe huwa unaona raha sana kuposti utumbo wako humu na watu wanakuvumilia. Wewe ukijibiwa unang'aka! Hamnazo kabisa wewe. Una elimu gani mpaka unakandia watu wengine humu!? Hebu weka cv yako hapa tuone. Hovyooooooo!!!!!
 
Pia wasisahau kuchangishana fedha ili wajijengee shule,hospitali n.k Haileti maana kujibagua huku vitoto vyenu vimejazana kwenye hizi shule zetu za seminari na vyuo.
 
Hivi wakatoric kusaini MOU na serikali kupata upendeleo nao ni wanawake? halafu hawaishi kwenda kusema kwa serikali kama majike
 
Assume wamehesabiwa alafu wakaonekana wapo wachache, je watakubaliana na matokeo au ndo itakuwa **** uchaguzi mkuu uliopita?

think loud!!!!!!!!!!!!!!
 
Nipo mkuu nimeona comment ya Chadema kuisema dini ilhali ina viongozi wake nashindwa kuelewa kuna uhusiano gani kati ya asasi hizi mbili. Halafu watu wakisema kuwa kuna uhusiano members wanakuja juu na kusema mbona Zitto mwislamu?

Kama Zitto mwislamu ameshawahi kusema kero ya waislamu bungeni kama alivyofanya Lisu kwa wakristo wa Zenji? Amefanya kwa maslahi ya chama au yake binafsi?

Bw. Shossi kwa vile umeamua kuweka utambulisho wako halisi basi jaribu kuweka hoja katika mantiki halisi. Sote tunakubali kuwa Tanzania ni nchi ya watu wenye imani anuwai za dini. Sasa ikitokea kundi moja limechomewa nyumba zake za ibada au kufanyiwa hujuma na kundi jingine hilo ni suala ya uvunjifu wa sheria za nchi. Kwa hivyo mtu au mbunge akiitaka serikali kukemea uvunjivu huo wa sheria ni halali na wajibu wake. Mbunge huyo anaweza kutokea kuwa au asiwe ni mmoja wa waumini wa kundi lililohujumiwa. Kwa vile binadamu wote wanastahili haki, mbuge hawezi kusita kutetea kwa kuogopa eti atahesabiwa anatetea kwa sababu waliohujumiwa ni watu wa imani yake. Kama tutajenga utamaduni huo, basi bunge halitaweza kutetea maslahi ya wananchi kwa sababu kila atakayesimama kuongea ataangaliwa ni wa imani gani kwanza!!!!!! Jamani tuweni wakweli na waungwana.
 
486421_163099473826444_371008836_n.jpg



hayawi hayawi yamekuwa. tayari vipeperushi , vijarida vimeanza kusambazwa kwa wingi miskiti na sehemu, vituo vyadaladala na sehemu nyegine zinazowataka waislam kususia sensa kwa kuwa wamedaharuliwa madai yao.
wanadai kamwe hawaogopi na vitisho vinavyotolewa na baadhi ya watendaji eti watachukuliwa hatua.
Wanasema siku hiyo itakuwa ya Maandamano

SOURCE: ANNUR
Katika jamii yetu haya ndiyo majitu yenye fikra duni kabisa na ndiyo yanayoturudisha nyuma...
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom