TOWNSEND
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,598
- 460
wametumwa na CHADEMA hawa?
waislam wengi si walikuwa upande wa ccm baada ya jk kusema cdm ni ya kikristo? imekuwaje tena wanaigomea serikali kipenzi chao na wameshapewa mahakama ya kadhi?
wametumwa na CHADEMA hawa?
Kumbe wanahela...
Mimi si muislam,sijawahi kufikria kuwa,lakini hoja yao ya kukataa kuhesabiwa kwangu ni hoja ya msingi sana,tumekuwa tukihesabiwa kila baada ya miaka kumi,swali la msingi hapa ni kujadili faida tulizopata kama matokeo ya sensa,miundombinu ya maji,hospitali,shule,mahakama ni vilevile hazijabadilika,kama ni mabadiliko ni kupaka rangi,je takwinu wanazopata ni kwa faida gani?angalia mji wa shy,kigoma,mwanza nk miundombinu ya 1961 mpaka sasa..waislam tusiwalaumu kukataa kuhesabiwa
Watoto Wenu Waliomaliza Form Four na Six na wamejazana huku na Wanapiga Magoti kuomba UKARANI na Wananchi kibao. Majina Yapo
HAPA NDO NAONA HAWA WENZETU WANAFIKI. Wanakataa SENSA lakini PESA ZA SENSA WANATAKA... Watoeni Kwanza Wakina HASSAN,HUSSEIN n.k huku kwanza
Ndo huu uwezo wa ki-madrasa unaowadumaza sana ndugu zangu, mimi nimesema hivi wewe unajibu vile ni heri usinge ni-quote ingeleta maana kidogo kwamba unaanzisha sub-topic, kwa taarifa yako uwezo huu wa kujibu hoja ndiyo unaowafanya muwe mnafeli sana shule alafu mnalia eti mpewe upendeleo maalumu kama ilivyo kwa wanawake na watoto katika maswala ya tiba.
Mimi si muislam,sijawahi kufikria kuwa,lakini hoja yao ya kukataa kuhesabiwa kwangu ni hoja ya msingi sana,tumekuwa tukihesabiwa kila baada ya miaka kumi,swali la msingi hapa ni kujadili faida tulizopata kama matokeo ya sensa,miundombinu ya maji,hospitali,shule,mahakama ni vilevile hazijabadilika,kama ni mabadiliko ni kupaka rangi,je takwinu wanazopata ni kwa faida gani?angalia mji wa shy,kigoma,mwanza nk miundombinu ya 1961 mpaka sasa..waislam tusiwalaumu kukataa kuhesabiwa
Hivi hizo T-shirt mmeshawapatia JK, Dr. Bilal, Dr. Shein, IGP Said Mwema, ACP Suleiman Kova, 1st VP Maalim Shariff Hamad, Hajart Mrisho (Mkurugenzi wa Sensa) etc?
hayawi hayawi yamekuwa. tayari vipeperushi , vijarida vimeanza kusambazwa kwa wingi miskiti na sehemu, vituo vyadaladala na sehemu nyegine zinazowataka waislam kususia sensa kwa kuwa wamedaharuliwa madai yao.
wanadai kamwe hawaogopi na vitisho vinavyotolewa na baadhi ya watendaji eti watachukuliwa hatua.
Wanasema siku hiyo itakuwa ya Maandamano
SOURCE: ANNUR
WANAFIKI HAO. Majina yao Yamejaa huku kuomba UKARANI wa Kuhesabu sensa... Mbona hawahubiri Watu wasichukue Nafasi hizo.
Ni HERI mdhambi Anayetembea UCHI kuliko anayejifanya mwema amevaa NGUO.
Walio Waislam Mungu kawajaalia uwezo mdogo wa kufikiri lakini wale walio Wakristo Mungu kawajaalia uwezo mkubwa wa kufikiri na ndiyo maana Viongozi wao wakubwa wa dini kama Askofu Gine Robinson wanageuzwa (PUNGA)na bado wanaendelea kutoa misa Makanisani!Waende zao kule hakuna kuwasikiliza mara nyingi wamekuwa na vimadai vya kitoto sana, nadhani hii inatokana na uwezo mdogo wa kufikiri waliojaaliwa kwa kuwekeza nguvu nyingi kwa watoto kuwapeleka madrasa badala ya Madarasa ya elimu Dunia