Vipeperushi, fulana za kususia sensa kwa waislam zasambazwa

Status
Not open for further replies.
Watoto Wenu Waliomaliza Form Four na Six na wamejazana huku na Wanapiga Magoti kuomba UKARANI na Wananchi kibao. Majina Yapo

HAPA NDO NAONA HAWA WENZETU WANAFIKI. Wanakataa SENSA lakini PESA ZA SENSA WANATAKA... Watoeni Kwanza Wakina HASSAN,HUSSEIN n.k huku kwanza
 
akili finyu kabisa juzi pinda alivyosema zanzizabar waislam ni asilimia 99 mlipiga kelele na kuhoji data hizo ametoa wapi, sasa sensa ingeweka wazi hilo ajabu wakiristo wote mmeungana na serikali kupinga kuwepo dodoso la dini. Waislam wanafikiria mbali.
hivi unategemea angesema zanzibar kuna wakristu wengi?
 
Waislamu wanajikaanga kwa mafuta yao wenyewe wanatengeneza bomu la kuwamaliza wenyewe. Wameingia gharama za kipumbavu kuchapisha t-shirt kuikomoa Serikali. Hv baada ya sensa watatoka na kipi kingine? Kama wanataka kujua idadi yao si wafanye survey misikitini? au mpaka watumie sensa inayowahusisha waTZ woote. Wasiishie kuchapisha t-shirt bali , suruali, kaptula na masharti na wavae hata baada ya sensa.
 
Mwenye dira ya maendeleo ya taifa aniambie tupo wapi sasa.


Dira ya Taifa (Vision 2025) imewekwa kwenye programme za miaka mitano mitano ili kuwezesha implementation. Ndio maana tuna MKUKUTA. Sasa katika kupima malengo ya Vision unaangalia zile target/benchmark za MKUKUTA. Kwa sasa tuko off-target kwenye mambo mengi, i.e health, agriculture etc. Kwa mfano MKUKUTA unasema kilimo kilitakiwa kiwe kinachangia pato la taifa by 10% ifikapo 2010, lakini mpaka sasa tuko kwenye 5.1%. Tena hii figure imekuwa massaged!
 
hayawi hayawi yamekuwa. tayari vipeperushi , vijarida vimeanza kusambazwa kwa wingi miskiti na sehemu, vituo vyadaladala na sehemu nyegine zinazowataka waislam kususia sensa kwa kuwa wamedaharuliwa madai yao.
wanadai kamwe hawaogopi na vitisho vinavyotolewa na baadhi ya watendaji eti watachukuliwa hatua.
Wanasema siku hiyo itakuwa ya Maandamano

SOURCE: ANNUR

Kuna mambo yanayoashiria kuwa Tanzania tuna tatizo kubwa la illiteracy, na hii sensa inaonekana kuthibitisha hilo! Kukataa kuhesabiwa is a classic example ya 'ujima'.
 
486421_163099473826444_371008836_n.jpg



hayawi hayawi yamekuwa. tayari vipeperushi , vijarida vimeanza kusambazwa kwa wingi miskiti na sehemu, vituo vyadaladala na sehemu nyegine zinazowataka waislam kususia sensa kwa kuwa wamedaharuliwa madai yao.
wanadai kamwe hawaogopi na vitisho vinavyotolewa na baadhi ya watendaji eti watachukuliwa hatua.
Wanasema siku hiyo itakuwa ya Maandamano

SOURCE: ANNUR

Waislamu tunarudisha nyuma nchi yetu. . .naona kuna agenda ya kutaka kuigawa nchi yetu,waislamu na wakrito wote ni wananchi wa tanzania,tutahesabiwa kama wananchi na si udini wa mtu,kama waislamu tusipokubli kuhesabiwa ina maana takwimu itakayopatikana ni ya wakristo tu,kwa mtu aliyeelimika hawezi kufanya upuuzi kama huo,maisha yakiwa magumu bdo utailaumu serikali?,tufikiri kwanza kabla hatujaamua,ukikosa kula au mahali pa kulala hutaenda msikitini kulalamika.
 
kweli nimeamini pwani si kenya! mbombo ngafu! DHAIFU kenda zake libya, lol!
 
486421_163099473826444_371008836_n.jpg



hayawi hayawi yamekuwa. tayari vipeperushi , vijarida vimeanza kusambazwa kwa wingi miskiti na sehemu, vituo vyadaladala na sehemu nyegine zinazowataka waislam kususia sensa kwa kuwa wamedaharuliwa madai yao.
wanadai kamwe hawaogopi na vitisho vinavyotolewa na baadhi ya watendaji eti watachukuliwa hatua.
Wanasema siku hiyo itakuwa ya Maandamano

SOURCE: ANNUR

Mkuu ANNUR ya lini?
 
Aaa wapi...vaeni siku ya sensa muone cha moto.

mpaka ikifika siku ya sensa tutakua tumemaliza kazi na waislam wote watakua na taarifa zakutosha hivyo ni kupiga kanzu na kwenda msikitini kukamilisha kazi ha ha ha! Hatutatumia nguvu ni akili tu.
 
Hizo fedha walizotumia kutengeneza vipeperushi kwanini wasiboreshe shule zao? au wasitengeneze vipeperushi vya kuhamasisha watoto wapelekwe shule? Haya ni matumizi mabaya ya akili na fedha!
 
mpaka ikifika siku ya sensa tutakua tumemaliza kazi na waislam wote watakua na taarifa zakutosha hivyo ni kupiga kanzu na kwenda msikitini kukamilisha kazi ha ha ha! Hatutatumia nguvu ni akili tu.

Kwenye Blue sina uhakika.....
Kwenye Red nina swali moja tu......mnazo??
 
486421_163099473826444_371008836_n.jpg



hayawi hayawi yamekuwa. tayari vipeperushi , vijarida vimeanza kusambazwa kwa wingi miskiti na sehemu, vituo vyadaladala na sehemu nyegine zinazowataka waislam kususia sensa kwa kuwa wamedaharuliwa madai yao.
wanadai kamwe hawaogopi na vitisho vinavyotolewa na baadhi ya watendaji eti watachukuliwa hatua.
Wanasema siku hiyo itakuwa ya Maandamano

SOURCE: ANNUR

Huyu jamaa kwa nini hakuvaa 'kanzu' iliyoandikwa huo ujumbe wake aonyeshe msisitizo? ina maana wanawake wa kiIslamu nao watavaa tshirt kueneza huo ujumbe?
 
Waislam kazi mnayo.Mmetaka mahakama ya kadhi mmepewa.Cha mno nini jamani?Au amani sio hitaji lenu?Kuweni makini jamani!
 
Lengo la sensa ni kwamba serikali kujua idadi kamili ya watu hili iweze kuwahudumia vizuri(kupeleka huduma za jamii),lkn cha kustaajabisha hapahapa dsm tu umeme sehemu nyingine haujafika,shule hakuna mwanafunzi anatembea km 10,hospital hakuna mtu anaenda kijiji kingine kutibiwa,wamam wanajifungulia nyumbani,madawa hakuna,barabara hazipitiki,not tarmac,vumbi makorongo mtindo m1,maji hakuna,Sasa kuna faida gani ya kuhesabiwa wakati serikali hawatimizi lengo la sensa? Naungana na waiislamu na mie sitohesabiwa nishawaambia jirani zangu kwamba mie nahesabiwa mkoani kwetu khyo wakija watu wa sensa wasiniweke kabisa!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom