hayawi hayawi yamekuwa. tayari vipeperushi , vijarida vimeanza kusambazwa kwa wingi miskiti na sehemu, vituo vyadaladala na sehemu nyegine zinazowataka waislam kususia sensa kwa kuwa wamedaharuliwa madai yao.
wanadai kamwe hawaogopi na vitisho vinavyotolewa na baadhi ya watendaji eti watachukuliwa hatua.
Wanasema siku hiyo itakuwa ya Maandamano
SOURCE: ANNUR