vipele

mkonowapaka

JF-Expert Member
Feb 19, 2010
1,493
767
kuna vipele vimenitokea sehemu ya makalioni...vimekaa mithili ya 'shilingi'..kwa mnaofahamu,,nikivigusa vinatoa maji..na wkat fulani panawaka moto ivi...au kuuma in other words..inaweza kuwa ni infection au ni ugonjwa gani labda kabla sijaenda kuonana na wataalam..asanteni
 
jaribu kumwona daktari huenda una infection maeneo ya tiGO au Vodacom service. Ila pole sana.
 
jaribu kumwona daktari huenda una infection maeneo ya tiGO au Vodacom service. Ila pole sana.

haviko kwenye maeneo hayo ya mitandao....kwa juu i mean nikikiaa nakua kama nimevikalia ivi,,,hop unapata picha
 
ingia google tafuta kitu inaitwa herpes...hii ni kati ya magonjwa ya sehemu za siri/ zinaa ila inatibika...pole sana ila mie sio dr.. niliisoma hukoooo nilikokuelekeza... ukimaliza nenda sipitali kamwone daktari...kama nakuona vile...ukute nawe ni demu inshallaaah mnyaazi mungu kakujaaaalia uwani kunapendeza kisha dokta ndio mie full mi-udenda nitakutibu siku nzima mpaka wagonjwa wengine waandamane kupinga huduma utayopata... AHHAHAAAA JUST KIDDING
 
Back
Top Bottom