mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
kuna vipele vimenitokea sehemu ya makalioni...vimekaa mithili ya 'shilingi'..kwa mnaofahamu,,nikivigusa vinatoa maji..na wkat fulani panawaka moto ivi...au kuuma in other words..inaweza kuwa ni infection au ni ugonjwa gani labda kabla sijaenda kuonana na wataalam..asanteni