Vipaumbele vya mkopo elimu ya juu

HGYTXK

Senior Member
Oct 3, 2011
194
70
Nataraji migomo mingi vyuoni kwa mfumo huu ata kama posho imeongezwa.Ebu pima hii,mtoto wa mlala hoi ameomba chuo na kapata ili kusomea ualimu akispecialize kwenye english ananyimwa mkopo kwa kigezo kuwa kozi aliyoomba si kipaumbele cha serikali,hivi hiyo sayansi mashule ufundishwa kwa lugha ya kizanaki?
 
2lia ww. Walimu wa ngeli kibao. Aenda akajaribu mwakan. 2mechoka kuzalisha wanasiasa kila kukicha
 
WanaJf nilikuwepo tu mida wazee maana haya yananilemea. Ila ukweli kila mmoja wenu anao ni vizuri mkatujuza wanajamvi tukapata kufahamu.
 
Back
Top Bottom