HGYTXK
Senior Member
- Oct 3, 2011
- 194
- 70
Nataraji migomo mingi vyuoni kwa mfumo huu ata kama posho imeongezwa.Ebu pima hii,mtoto wa mlala hoi ameomba chuo na kapata ili kusomea ualimu akispecialize kwenye english ananyimwa mkopo kwa kigezo kuwa kozi aliyoomba si kipaumbele cha serikali,hivi hiyo sayansi mashule ufundishwa kwa lugha ya kizanaki?