Jaslaws
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 6,016
- 5,284
Nmekua mfatiliaji si mzuri sana wa bunge,lakin kutokana na kauri ya W.M ya liwalo na liwe nilkua nina hamu sana ya kujua litakalo semwa leo bungeni.katka kuangalia bunge mbele ya meza ya mh. spika wamekaa wazee watatu wenye vipara vilivyo ota kwa style ile ile swali langu ni je?kipara ni mojawapo ya qualification ya kukalia kiti kile?