mwenyenguvu
Senior Member
- Apr 3, 2012
- 168
- 51
mimi nilikuwa ni miungoni mwa wasilikizaji wakubwa katika ile shule aliyokuo akiitoa pro pale itv,na mada zake zote nilizilekodili ili zinisaidie katika kuandika na kutoa maoni juu ya katiba mpya mara tu tume itakapokuwa hapa dar.Sasa najiuliza,mbone kile kipindi kimepotea ghafla?