ketapala masokula
New Member
- Feb 14, 2012
- 1
- 1
:flypig:Raisi michael Sata wa zambia ameishukia sekta ya madini nchini humo na kuwambia wakezaji kuwa wazawa wote wenye elimu sawa na wageni walipwe mishahala sawasawa kama haiwezekani basi wageni walipwe sawawa na wazawa.