WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Sikutegemea hata siku moja kuwa Tanzania itafikia mahali ambapo viongozi wenyewe kwa wenyewe tena wa chama kimoja kile kinachotawala wataanza kurushiana makombora ya shutuma, matusi na kejeli!
Hivi kuna collective responsibility tena siku hizi? Inakuwaje viongozi wa ngazi za juu wenye dhamana ya kuhakikisha tunakuwa na maadili.. wao ndio wamekuwa wa kwanza kukiuka? Inanifanya niwaze - Nyumbani baba na mama wenyewe kuheshimiwa wanapoonyesha kuparaganyika kinachofuata ni vurugu kwenye familia na kila mtu kuanza kujifanyia kila anachotaka bila woga.
Hivi Tanzania Twenda Wapi?
Hivi kuna collective responsibility tena siku hizi? Inakuwaje viongozi wa ngazi za juu wenye dhamana ya kuhakikisha tunakuwa na maadili.. wao ndio wamekuwa wa kwanza kukiuka? Inanifanya niwaze - Nyumbani baba na mama wenyewe kuheshimiwa wanapoonyesha kuparaganyika kinachofuata ni vurugu kwenye familia na kila mtu kuanza kujifanyia kila anachotaka bila woga.
Hivi Tanzania Twenda Wapi?