huu ukali wote sababu unajua tunakuja kumshukia dokta feki jakaya kikwete anayelobby kutunukiwa udaktari...Unachotaka kusema nini unaonekana mambo ya hapa duniani hujui kabisa pengine tukusaidie hebu sema unachotaka ni nini hasa?
Mkuu pamoja na maswali yako unayo yahoji ila mimi nataka uzitendee haki PhD za watu hapa kati ya wote uliowaorodhesha hapo kuna mmoja hastahili kutumika kama mfano ktk bandiko lako kwasababu hakuna chuo chochote kilichobainishwa kamba alisoma nakupata hiyo PhD hivyo tafadhari kwaheshima ya PhD za watu unatakiwa kumwondoa haraka hapo
Sikazi yangu kubainisha ni nani bali hata matendo yake hubainisha elimu ndogo Aliyonayo na tayari kesha shindwa kuongoza nchi ipoipo tu inajiendea kanakwamba haina kiongozi.
BACK TANGANYIKA
Unachotaka kusema nini unaonekana mambo ya hapa duniani hujui kabisa pengine tukusaidie hebu sema unachotaka ni nini hasa?
Swadakta mkuu..Hizo ni academic title, zinafanya kazi tu pale unapokua mazingira ya universities. Sio mtu bungeni ni prof, dr, dah......ulimbukeni wa hali ya juu.NI kweli Mkuu. Ukweli ni kwamba huko ulaya na Marekani hata wakiwa katika mazingira ya vyuo hawahusudu hizi title, utakuta maprofessor wanataka waitwe tu kwa majina yao ya kwanza. KUna watu kule wanakasirika ukiwaita Prof., lakini huku kwetu Prof linakuwa jina la mtu, watu wanalikubali bila hata kutaja Prof na jina lake halisi. Unakuta mtu anasema, "naomba kukuona Prof", na jamaa anakubali kuitwa hivyo.
Tatizo hapa kwetu ni malimbukeni wa title. Watu wanaona ujiko sana kuwa na hutu tu-degree walitotupata kwa shida sana, na ndio maana wanataka kutukuzwa na hizi title wakati hawana lolote la maana wanalochangia katika maendeleo ya nchi na jamii.
Unaonekana hujui kitu sijui usaidiweje mkuu.
Endelezeni hapo chini
- Dr. Jakaya Mrisho Kikwete
- Dr. Mary Nagu
- Dr. Makongoro Mahanga
- Dr. Emmanuel Nchimbi
- Dr. David Mathayo David
- Dr. Diodorous Kamala
- Prof. Steven Ngonyani
- Dr. Hussein Mwinyi (hakufanya intern to qualify to be MD)
- Dr. Mary Mwanjelwa
- .....