Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Wadau ninaangalia taarifa ya habari ITV, kilichonishangaza ni taarifa ya Raisi na viongozi wengine wako ziarani Oman,kilichonishangaza mimi ni jinsi viongozi wetu walivyokuwa busy kushangaa hekalu muda wote, sijui nini tafsiri yake ,!? kwa mlioona niambieni
Upumbavu mtupu. Jaribuni kuheshimu viongozi wenu hata kama wanautendaji mbovu. Nyie ndio mnaweza hata kucheka makalio ya baba zenu yakiwa wazi. Shenzi kweli. Those are state figures no matter how inefficient they work!