Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Wakuu .Habari!
Kuna jambo moja linanishangaza sana naomba msaada wenu katika hili. Siku za Mazishi ya Mzee Kawawa na baada ya Mazishi yake,Mzee huyu amemwagiwa sifa mbalimbali.Moja ya sifa alizomwagiwa ni kuwa Mzee huyu hakujilimbikizia Mali. Hili mimi linanishangaza sana na inawezekana kabisa kwamba labda mimi sifahamu maana ya kujilimbikizia Mali. Wakati nafuatilia mazishi yake kwa njia ya Luninga niligundua kuwa huyu Mzee alikuwa na eneo kubwa sana pale nyumbani kwake Madale to the extent that maelfu ya watanzania waliweza kushiriki kwenye mazishi yake live bila ya chenga. Pia kuna eneo kubwa tu ambalo liko reserved kwaajili ya Makaburi ya wanafamilia. Hata kule kijijini kwake alikozaliwa alikuwa na eneo kubwa tu. Vile vile nimeambiwa kwamba Sophia House zote zilikuwa za Mkewew Sophia Kawawa.,Na hizi Sophia Houses zimezagaa kila kona ya jiji la Dar es Salaam. Hizi ni baadhi tu ya Mali nilizobahatika kuzifahamu lakini katika hizi bado mi naona jamaa wala hakuishi maisha ya kawaida kama watu wanavyodai.je kujilimbikizia mali ni kupi?au mapka uwe na mahoteli Makubwa ya Kitalii? Nisaidieni jamani.
Kuna jambo moja linanishangaza sana naomba msaada wenu katika hili. Siku za Mazishi ya Mzee Kawawa na baada ya Mazishi yake,Mzee huyu amemwagiwa sifa mbalimbali.Moja ya sifa alizomwagiwa ni kuwa Mzee huyu hakujilimbikizia Mali. Hili mimi linanishangaza sana na inawezekana kabisa kwamba labda mimi sifahamu maana ya kujilimbikizia Mali. Wakati nafuatilia mazishi yake kwa njia ya Luninga niligundua kuwa huyu Mzee alikuwa na eneo kubwa sana pale nyumbani kwake Madale to the extent that maelfu ya watanzania waliweza kushiriki kwenye mazishi yake live bila ya chenga. Pia kuna eneo kubwa tu ambalo liko reserved kwaajili ya Makaburi ya wanafamilia. Hata kule kijijini kwake alikozaliwa alikuwa na eneo kubwa tu. Vile vile nimeambiwa kwamba Sophia House zote zilikuwa za Mkewew Sophia Kawawa.,Na hizi Sophia Houses zimezagaa kila kona ya jiji la Dar es Salaam. Hizi ni baadhi tu ya Mali nilizobahatika kuzifahamu lakini katika hizi bado mi naona jamaa wala hakuishi maisha ya kawaida kama watu wanavyodai.je kujilimbikizia mali ni kupi?au mapka uwe na mahoteli Makubwa ya Kitalii? Nisaidieni jamani.