Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
Wana JF
Polisi Zanzibar leo imewatia mbaroni Katibu wa Jumuiya ya uamsho Sheikh Abdallah Madawa na Sheikh Fikirini Majaliwa.
Viongozi hao wamekamatwa maeneo ya Mwanakwerekwe walipokua wamekwenda kusikiliza kesi ya Uchochezi inayowakabili Sheikh Farid na wenzie. Polisi hawajasema sababu ya kuwatia mbaroni viongozi hao.
Hata hivyo tukio hilo limekuja siku mbili baada ya Padri mmoja kupigwa risasi na watu wasiojulikana huku Zanzibar na Polisi ikiahidi kuwasaka waliotenda kitendo hicho
Polisi Zanzibar leo imewatia mbaroni Katibu wa Jumuiya ya uamsho Sheikh Abdallah Madawa na Sheikh Fikirini Majaliwa.
Viongozi hao wamekamatwa maeneo ya Mwanakwerekwe walipokua wamekwenda kusikiliza kesi ya Uchochezi inayowakabili Sheikh Farid na wenzie. Polisi hawajasema sababu ya kuwatia mbaroni viongozi hao.
Hata hivyo tukio hilo limekuja siku mbili baada ya Padri mmoja kupigwa risasi na watu wasiojulikana huku Zanzibar na Polisi ikiahidi kuwasaka waliotenda kitendo hicho