Viongozi wengine wa Uamsho Mbaroni leo Zanzibar

Mwana Mpotevu

Platinum Member
Sep 7, 2011
3,295
2,500
Wana JF

Polisi Zanzibar leo imewatia mbaroni Katibu wa Jumuiya ya uamsho Sheikh Abdallah Madawa na Sheikh Fikirini Majaliwa.

Viongozi hao wamekamatwa maeneo ya Mwanakwerekwe walipokua wamekwenda kusikiliza kesi ya Uchochezi inayowakabili Sheikh Farid na wenzie. Polisi hawajasema sababu ya kuwatia mbaroni viongozi hao.

Hata hivyo tukio hilo limekuja siku mbili baada ya Padri mmoja kupigwa risasi na watu wasiojulikana huku Zanzibar na Polisi ikiahidi kuwasaka waliotenda kitendo hicho
 
Jamani haya mambo ya kikatiri sana mara wanawamwagia tindikali wenzao , mara lisasi kwa padri hivi hawa watu wanaroho gani?
 
Uonevu tu, na ukiukwaji wa haki za binadamu. Ndicho kinachoendelea ZNZ. Jee nani anaemiliki silaha za moto ZNZ kama sio vyombo vya usalama vyenyewe? Tafakari.
 
mfumo wa kikafiri unaendelea kutekeleza mambo yake, hao mashehe wapi na wapi na mauaji ya padiri, mi nazani Wazanzibari imefika wakati watangaze jihadi manake inahusu nini majambazi yafanye uhalifu wakamatwe watu kutokana na shinikizo la wakatoliki?

tangazeni jihadi hao wakatoliki warudi huku bara mikoani kwao kwani lazima wakatekeleze ukafiri wao kule si warudi dodoma na kwengineko wakajenge hayo makanisa ya kikatoliki waabudu huo msalaba wao.
 
Shehe Ilunga ndio yupi huyo mkuu?
Huyu ni gaidi anayeamasisha waislamu wawaue mapadri,maaskofu na makadinali.Uamasishaji huu ulianza baada ya kifo cha shehe Logo wa Mombasa.Pia alifurahishwa sana na kitendo cha Abdallah mwamwindi kumuua Dr kleruu aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Iringa enzi za utawala wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere!!
 
Huyu ni gaidi anayeamasisha waislamu wawaue mapadri,maaskofu na makadinali.Uamasishaji huu ulianza baada ya kifo cha shehe Logo wa Mombasa.Pia alifurahishwa sana na kitendo cha Abdallah mwamwindi kumuua Dr kleruu aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Iringa enzi za utawala wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere!!

Duh hii kali
 
mfumo wa kikafiri unaendelea kutekeleza mambo yake, hao mashehe wapi na wapi na mauaji ya padiri, mi nazani Wazanzibari imefika wakati watangaze jihadi manake inahusu nini majambazi yafanye uhalifu wakamatwe watu kutokana na shinikizo la wakatoliki?

tangazeni jihadi hao wakatoliki warudi huku bara mikoani kwao kwani lazima wakatekeleze ukafiri wao kule si warudi dodoma na kwengineko wakajenge hayo makanisa ya kikatoliki waabudu huo msalaba wao.
Nani kakwambia kukamatwa kwa hao mashehe kunausiana na kuvamiwa kwa padri?Unazani wote walioanzisha jihad walishinda?unafikiri toka dunia hii iumbwe na mungu jihad ngapi zimepiganwa?Jihad ngapi waislamu wameshinda na kama walishinda mbona hawaitawali dunia?acha vitisho vya kitoto na jihad zako,watu walishajiandaa na jihad miaka hamsini iliyopita kabla hata wewe haujazaliwa!!
 
Hao viongozi wa kikundi cha kigaidi cha UAMSHO wakamatwe wote, haiwezekani wakafanya uharamia wa watu wa imani nyingine then wawaache waendelee kuchafua amani yetu
QUOTE=Mwana Mpotevu;5316710]Wana JF

Polisi Zanzibar leo imewatia mbaroni Katibu wa Jumuiya ya uamsho Sheikh Abdallah Madawa na Sheikh Fikirini Majaliwa.
Viongozi hao wamekamatwa maeneo ya Mwanakwerekwe walipokua wamekwenda kusikiliza kesi ya Uchochezi inayowakabili Sheikh Farid na wenzie. Polisi hawajasema sababu ya kuwatia mbaroni viongozi hao.

Hata hivyo tukio hilo limekuja siku mbili baada ya Padri mmoja kupigwa risasi na watu wasiojulikana huku Zanzibar na Polisi ikiahidi kuwasaka waliotenda kitendo hicho[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom