Viongozi wawili ccm kuburuzwa mahakamani

Ramso5

Member
Dec 13, 2011
63
8
Diwani mmoja wa ccm na waziri wake ambao ni vijana na wanatoka wilaya moja ya mkoa wa mwanza,huenda wakatinga mahakamani muda wowote kujibu mashitaka dhidi yao.viongozi hao ambao wanamiliki jengo la ghorofa 8(hotel) lenye thamami ya mabilioni ya pesa ktk mtaa mmoja katikati ya jiji la Mwanza.Taarifa zilizopatikana ni kuwa viongozi hao kutokana na ubabe,utawala,jeuri ya pesa na kuhonga vyombo vya serikali,wamejikuta matatani dhidi ya familia moja ambayo inataka jengo hilo livunjwe kwa kuwa limeingilia kiwanja chao.waziri huyo aliye ziarani kanda ya ziwa juzi alipita kukagua ujenzi wa jengo ambalo liko mbioni kumalizika ambalo gumzo ktk jiji la mwanza lote
 
Diwani mmoja wa ccm na waziri wake ambao ni vijana na wanatoka wilaya moja ya mkoa wa mwanza,huenda wakatinga mahakamani muda wowote kujibu mashitaka dhidi yao.viongozi hao ambao wanamiliki jengo la ghorofa 8(hotel) lenye thamami ya mabilioni ya pesa ktk mtaa mmoja katikati ya jiji la Mwanza.Taarifa zilizopatikana ni kuwa viongozi hao kutokana na ubabe,utawala,jeuri ya pesa na kuhonga vyombo vya serikali,wamejikuta matatani dhidi ya familia moja ambayo inataka jengo hilo livunjwe kwa kuwa limeingilia kiwanja chao.waziri huyo aliye ziarani kanda ya ziwa juzi alipita kukagua ujenzi wa jengo ambalo liko mbioni kumalizika ambalo gumzo ktk jiji la mwanza lote

Unapopost thread humu Jamvini kumbuka kauli mbiu ya JF inayosema kwamba 'Where we dare to talk openly'. Tena kwa kukusaidia JF ikaruhusu watu kujisajili kwa Nick names. Sasa wewe mwenzetu unatumia Nick name na bado unaogopa kuwataja hao watuhumiwa. Unataka JF ikusaidieje ile u talk openly?

 
...hiyo style uliyotumia kutuhabirisha sio mahalapake hapa,peleka kwenye yale magezeti yenye kurasa mbili aka magezeti ya udaku.
 
Diwani mmoja wa ccm na waziri wake ambao ni vijana na wanatoka wilaya moja ya mkoa wa mwanza,huenda wakatinga mahakamani muda wowote kujibu mashitaka dhidi yao.viongozi hao ambao wanamiliki jengo la ghorofa 8(hotel) lenye thamami ya mabilioni ya pesa ktk mtaa mmoja katikati ya jiji la Mwanza.Taarifa zilizopatikana ni kuwa viongozi hao kutokana na ubabe,utawala,jeuri ya pesa na kuhonga vyombo vya serikali,wamejikuta matatani dhidi ya familia moja ambayo inataka jengo hilo livunjwe kwa kuwa limeingilia kiwanja chao.waziri huyo aliye ziarani kanda ya ziwa juzi alipita kukagua ujenzi wa jengo ambalo liko mbioni kumalizika ambalo gumzo ktk jiji la mwanza lote
Mkuu wewe ni muoga au unaleta majungu na tetesi hapa. Kwa nini usiwataje hao watu? Inakuwa kama gazeti la udaku vile manake huwa yanataja kila kitu kasoro jina tu! Hoo waziri huyo yuko ziarani kanda ya ziwa lakini humtaji! Kama una hiyo clue ingetafuta mawaziri ambao wako ziarani kanda ya ziwa.na ku zero in kisha ukapata jina na kutuhabarisha. Ianze upya basi mkuu.
 
Si useme tu ka ni yule Waziri wa Megawatt ( Ngeleja)
 
Back
Top Bottom