utemi Senior Member Mar 27, 2011 167 23 Mar 27, 2011 #1 Mkuu wa wilaya ya Mbinga amekiri kwenda kupata kikombe cha babu na kumponyesha ugonjwa wa kisukari uliomsumbua kwa takriban miaka 20. Source- TBC1 taarifa ya habari usiku huu
Mkuu wa wilaya ya Mbinga amekiri kwenda kupata kikombe cha babu na kumponyesha ugonjwa wa kisukari uliomsumbua kwa takriban miaka 20. Source- TBC1 taarifa ya habari usiku huu
gubegubekubwa JF-Expert Member Jun 9, 2008 637 814 Mar 27, 2011 #2 mkuu naona lugha imekushinda kwenye heading yako
Safety last JF-Expert Member Mar 24, 2011 4,227 1,389 Mar 27, 2011 #3 Clouds walikuwepo madaktari wanasema dawa ya babu kwa uchunguzi wa awali ilionyesha inatibu kisukari kansa......,
Clouds walikuwepo madaktari wanasema dawa ya babu kwa uchunguzi wa awali ilionyesha inatibu kisukari kansa......,
FaizaFoxy Platinum Member Apr 13, 2011 92,823 109,109 Mar 27, 2011 #4 "Kuhaibika" ndio nini? Jamani, kama kuna maneno mapya ya kiswahili mtujuze.