Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,396
- 7,968
William Ngeleja, Said Mwema, Anne Makinda wameonyesha uwezo mdogo sana katika kazi zao, je walipewa wa Merit?
Ngeleja amechemsha sana katika anga zifuatazo;
1. Nchi imekuwa katika mgao wa umeme kwa mwaka mzima 2011
2. Tanesco yake imeshindwa kesi na inajiandaa/ huenda imeshaanza kuilipa Dowans
3. Alishindwa kabisa kudhibiti uchakachuaji mafuta hadi kulazimika kupandisha bei ya mafua ya taa na kuumiza walalahoi
4. Alijaribu kumbeba Jairo kupitia mbeleko iliyochanika (Luhanjo)
5. Alichota mahela kibao TPDC kwenda ulaya kula bata ( Kamati ya bunge ilieleza)
6. Ameendelea kukumbatia mikataba feki ya madini
Said Mwema kachemsha katika anga hizi
1. Jeshi lake limetajwa na TAKUKURU kuwa ndio taasisi inayoongoza kwa rushwa nchini (pengine duniani)
2. Ajari za barabarani zimekuwa nyingi kiasi kwamba kwa sasa tumeishazizoea, latest ni Biharamulo watu 20 wameteketea
3. Bajeti ya mabomu ya machozi katika jeshi lake imemaliza kifungu chote cha overhead costs
4. Jeshi linaongoza kwa kubambikiza kesi huku wananchi wakiitwa panya
5. Jeshi lake limeua raia wengi sana mwaka 2011 wasio na hatia
6. Askari wake wanakaa katika nyumba mbovu sana na wanavaa uniform zilizochakaa
Anne Makinda amechemsha katika anga zifuatazo;
1. Amekuwa wakala wa serikali badala ya kuisimamia bungeni, haijui doctrine of separations of power
2. Amegoma kabisa kutupatia utetezi wa Mh Lema kuhusu Mh Pinda kulidanganya bunge
3. Inapokuja ishu inahitaji uongozi imara na makini kama katiba yeye anachekacheka tu (Kama JK)
4. Hajatuletea wapigakura wake jimboni muswada wa katiba tuujadili (Uliposomwa first time)
5. Alitukanwa na Six kuwa kawekwa na mafisadi hadi leo hajakanusha
6. Kageuza bunge kuwa kijiwe cha stori badala ya baraza la kutunga sheria
Wapo viongozi wengi walioboronga 2011, ila hawa naona wamezidi. Tunapouaga huu mwaka ni vizuri kuwaeleza ili wajirekebishe au kujiuzulu ikibidi.
Ngeleja amechemsha sana katika anga zifuatazo;
1. Nchi imekuwa katika mgao wa umeme kwa mwaka mzima 2011
2. Tanesco yake imeshindwa kesi na inajiandaa/ huenda imeshaanza kuilipa Dowans
3. Alishindwa kabisa kudhibiti uchakachuaji mafuta hadi kulazimika kupandisha bei ya mafua ya taa na kuumiza walalahoi
4. Alijaribu kumbeba Jairo kupitia mbeleko iliyochanika (Luhanjo)
5. Alichota mahela kibao TPDC kwenda ulaya kula bata ( Kamati ya bunge ilieleza)
6. Ameendelea kukumbatia mikataba feki ya madini
Said Mwema kachemsha katika anga hizi
1. Jeshi lake limetajwa na TAKUKURU kuwa ndio taasisi inayoongoza kwa rushwa nchini (pengine duniani)
2. Ajari za barabarani zimekuwa nyingi kiasi kwamba kwa sasa tumeishazizoea, latest ni Biharamulo watu 20 wameteketea
3. Bajeti ya mabomu ya machozi katika jeshi lake imemaliza kifungu chote cha overhead costs
4. Jeshi linaongoza kwa kubambikiza kesi huku wananchi wakiitwa panya
5. Jeshi lake limeua raia wengi sana mwaka 2011 wasio na hatia
6. Askari wake wanakaa katika nyumba mbovu sana na wanavaa uniform zilizochakaa
Anne Makinda amechemsha katika anga zifuatazo;
1. Amekuwa wakala wa serikali badala ya kuisimamia bungeni, haijui doctrine of separations of power
2. Amegoma kabisa kutupatia utetezi wa Mh Lema kuhusu Mh Pinda kulidanganya bunge
3. Inapokuja ishu inahitaji uongozi imara na makini kama katiba yeye anachekacheka tu (Kama JK)
4. Hajatuletea wapigakura wake jimboni muswada wa katiba tuujadili (Uliposomwa first time)
5. Alitukanwa na Six kuwa kawekwa na mafisadi hadi leo hajakanusha
6. Kageuza bunge kuwa kijiwe cha stori badala ya baraza la kutunga sheria
Wapo viongozi wengi walioboronga 2011, ila hawa naona wamezidi. Tunapouaga huu mwaka ni vizuri kuwaeleza ili wajirekebishe au kujiuzulu ikibidi.