Makene JF-Expert Member Nov 1, 2010 1,475 282 Apr 22, 2012 #1 Je inawezeka kiongozi mkuu kama waziri mkuu kupewa nafasi hiyo iwapo hana mke? Namna gani Spika wa bunge, sijawahi kusikia mume wa Spika wa bunge.
Je inawezeka kiongozi mkuu kama waziri mkuu kupewa nafasi hiyo iwapo hana mke? Namna gani Spika wa bunge, sijawahi kusikia mume wa Spika wa bunge.
Kiranga Platinum Member Jan 29, 2009 71,270 105,469 Apr 22, 2012 #2 Kwa nini unafikiri isiwezekane? Kuna kipengere cha katiba kinachokataza? Vipi una mpango wa kumtokea Spika?
Kwa nini unafikiri isiwezekane? Kuna kipengere cha katiba kinachokataza? Vipi una mpango wa kumtokea Spika?
Mwali JF-Expert Member Nov 9, 2011 7,014 5,610 Apr 22, 2012 #3 Kiranga said: Kwa nini unafikiri isiwezekane? Kuna kipengere cha katiba kinachokataza? Vipi una mpango wa kumtokea Spika? Click to expand... Hahahahaha, na mimi nilitaka kuuliza hivo hivo Vingine sioni maana ya kufatilia maisha yake...
Kiranga said: Kwa nini unafikiri isiwezekane? Kuna kipengere cha katiba kinachokataza? Vipi una mpango wa kumtokea Spika? Click to expand... Hahahahaha, na mimi nilitaka kuuliza hivo hivo Vingine sioni maana ya kufatilia maisha yake...
Mungi JF Gold Member Sep 23, 2010 16,975 9,566 Apr 22, 2012 #4 Unampendekeza nani awe waziri mkuu na unadhani anaishi bila mwenza? Mbona Lipumba hana Mke na aligombea urais? Mi nadhani si kigezo
Unampendekeza nani awe waziri mkuu na unadhani anaishi bila mwenza? Mbona Lipumba hana Mke na aligombea urais? Mi nadhani si kigezo
Chuma Chakavu JF-Expert Member Apr 16, 2011 1,523 653 Apr 22, 2012 #5 Rudi kwenye katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania uone kama masharti ya kupata nafasi hizo za uongozi yanataka mtu kuwa na mwenzi wa ndoa.
Rudi kwenye katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania uone kama masharti ya kupata nafasi hizo za uongozi yanataka mtu kuwa na mwenzi wa ndoa.
M Moony JF-Expert Member Apr 16, 2011 1,599 435 Apr 22, 2012 #6 Acheni hizo. Hata maandiko matakatifu hayalazimishi wala kuzuia kuwa na mwenza. In fact unaweza ukawa na maamuzi mazuri zaidi ukiwa huna mwenza, zipo tafiti.
Acheni hizo. Hata maandiko matakatifu hayalazimishi wala kuzuia kuwa na mwenza. In fact unaweza ukawa na maamuzi mazuri zaidi ukiwa huna mwenza, zipo tafiti.
L leekud Member Apr 9, 2012 27 5 Apr 22, 2012 #7 Japo haitajwi kikatiba hivi nikweli kuwa na viongozi wakubwa kama speaker bila mwenza?