Viongozi wafuatao kuchunguzwa na sekretariet ya maadili ya umma, mali zao mashakani

Taarifa ya habari tbc1, yadaiwa wako 80 ni mawaziri, makatibu, wabunge nk. Yadaiwa walidanganya mali zao. Majina kumi ya mwanzo yametajwa kwa mtiririko huu;
1. Anna Tibaijuka
2. Omary Nundu
3. Mathayo Davd Mathayo
4. Vuai Nahodha
5. Lazaro Nyarandu
6. Jaji Werema
7. Katibu mkuu kiongozi (huyu mpya)
8. Mr. Jundu
9.
10.

Samahani hao wawili sikuwakariri.

Hii snema tu! Wangeanzia kwa mkulu na familia yake....
 
Hakuna jipya maana unafanya kazi huku wengine unaogopa kuwagusa inamaanisha hakuna maana.
 
siasa at work..

Kama wamedanganya sheria inasema wazi kinatakiwa kifanyike nini. Ila tumeshaambiwa hatuwezi kumlazimisha Rais kubadili watendaji wake...anaamua mwenyewe! kwahiyo kama wakifanya uchunguzi bado ni ridhaa ya Rais kuwaacha waendelee au kuwawajibisha. Huo ndio utawala bora wa Tanzania
 
Sio kuchgunguzwa hilo neno tume Wanatumia tu kupata airtime. Waseme wamejaza fomu vibaya na Tume itawasidia kuzijaza vizuri.

Kama hamna jina la watu kama kina chenge and Co then everyone of us know it one f those comedy-show episodes. And they are non-entertaining ..............
 
we hengo acha siasa kama tume imegundua wamedanganya ya nn bla bla peleka mahakamni kwa mujibu wa sheria
 
Hii tume wanatumia masaburi kufikiri, kwani ni wasi make a better use of our limited money. Kwanini kupoteza pesa bure za kodi yetu. Hivi kweli unaweza kupoteza pesa kuwatafuta mathalani Al Quida makanisani? Au ukaenda kuwatafuta Basque Separatists Misikitini?

Kwanini hii tume isitumie hizo pesa kuchunguza vigogo ambao tunajua ni watuhumiwa wakubwa wa ufisadi? Kumsaidia mama Judge kanganda angeanza na
1. Benjamin Mkapa
2. Edward Lowasaa
3. Andrew Chenge
4. Dr. Idrissa
4. John Magufuri
6. Rostam Aziz
7. Jakaya Mrisho Kikwete
8. Na wengine wote walioko kwenye List of shame
 
Back
Top Bottom