faithful
JF-Expert Member
- Aug 10, 2010
- 378
- 33
Wadau tafadhali naomba nielimishwe!kwenye uchaguzi mwaka huu nimeona mengi mapya ambayo hayakuwepo miaka ya nyuma.....mfano utakuta baadhi ya viongozi wakubwa wa wilaya na mikoa wanawapokea vema wagombea mbalimbali wa uraisi bila ubaguzi wa vyama vyao na wengine wanahudhuria mikutano yao na kukaa hightable....wengine hadi wanapewa nafasi za kusalimia wananchi jukwaani....na wapo wanaowakaribisha wagombea hawa maofisini huku wakiwa na sare zao....JE NI SEHEMU YAO YA KAZI AU NI ITASHI WAO TU?..JE VIONGOZI HAWA WANATENDA LILILO SAHIHI KUSHIRIKI KWENYE KAMPENI KWA NJIA HII?