EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Akizungumzia tamko la CCM lililotolewa na Nape kukanusha tuhuma za kuhusika na mauaji, Mnyika amesema, Nape anaficha ukweli juu ya kuhusika kwa baadhi ya viongozi wake na mauaji hayo.
Kama angetafakari kabla ya kusema angejua kuwa mpaka sasa viongozi wa serikali wanaotokana na CCM wako chini ya ulinzi wa polisi kuhusiana na mauaji ya Mwenyekiti wa CHADEMA Kata ya Usa River. Lakini pia viongozi na wanachama wa CCM wametajwa kwa majina kuhusika katika tukio la wabunge wa CHADEMA kukatwa mapanga huko Mwanza. Na mpaka sasa wako chini ya uchunguzi wa Jeshi la Polisi Mwanza, alisema Mnyika.
CHANZO: Tanzania Daima
Kama angetafakari kabla ya kusema angejua kuwa mpaka sasa viongozi wa serikali wanaotokana na CCM wako chini ya ulinzi wa polisi kuhusiana na mauaji ya Mwenyekiti wa CHADEMA Kata ya Usa River. Lakini pia viongozi na wanachama wa CCM wametajwa kwa majina kuhusika katika tukio la wabunge wa CHADEMA kukatwa mapanga huko Mwanza. Na mpaka sasa wako chini ya uchunguzi wa Jeshi la Polisi Mwanza, alisema Mnyika.
CHANZO: Tanzania Daima