Sasa ukigoma una uhakika gani wa kupata kile unchokitaka?Upo kwenye ofisi yenye viyoyozi,unatembelea gari la wizara, hujui manesi tunavyozalisha bila kuvaa gloves mikononi huku tukimwagikiwa na amniotic fluid na damu usoni. Hujuhi tunavyotumia mwanga wa Nokia kuzalisha huku vichanga vikitufia mikononi kwa ukosefu wa vifaa kupumulisha vichanga hivyo. Hufahamu kabisa jinsi ndugu na jamaa za wagonjwa wanavyotumwagia mvua za matusi kwa kushindwa kuwahudumia wagonjwa wao kisa dawa na vifaa hamna.
Nikukumbushe ulivyokuja Mwanza pale ukumbi wa Gandhi, unakumbuka wauguzi walivyokwambia: Tulikwambia hatuijuhi TANA hata kirefu chake, tulikwambia tunavyokatwa hela hiyo NGO yenu kwa lazima tena ada hizo huunganishwa na malipo ya leseni kwa kulazimishwa,sasa BOSI hao wauguzi unaowahimiza wasigome ni wa hapo Dar-es-salaam au?
Unakumbuka tulivyokuuliza uhalali wa sisi kulipia leseni sh. 50,000 huku kada zingine za afya hawalipi chochote na ukatujibu kwa kiburi hasa huyo raisi wa TANA (luteni kanali wa jeshi) huyo jama mwenye mikogo mingi, kiburi,mjivuni,eti ana master ya Uuguzi kutoka UK,kuwa na master ndio kuwa mwizi? Ndiyo wewe ni mwizi, kuna mpango umeuanzisha unataka wauguzi wakatwe ada ya TANA moja kwa moja kwenye mishahara kupitia hazina. Hiyo janja yako tumeshaijua,na ndio sababu mnahimiza wauguzi wasishiriki kwenye mgomo. Umelewa madaraka wewe,kwa akili zenu tana mnadhani bila daktari 'ku-prescribe'muuguzi wa Tanganyika anaweza kufanya lolote? Hata nursing care za kawaida tunaandikiwa tu!
Mwisho wauguzi wote wa Tanzania pamoja na kutojiamini kwetu,pamoja na shida zetu,tusikubali wanyonyaji TANA watwambie la kufanya, kama ni kugoma au kutogoma uamuzi tunao sisi,wanaovaa disposable gloves kuzalishia huku zinatutobokea ni sisi,TANA kazi yao kutembeza bakuli kwa wafadhiri kuomba fedha za kutembelea 'matawi' yao!
Sasa ukigoma una uhakika gani wa kupata kile unchokitaka?
Kwani asipogoma ana uhakika gani wa kupata hicho anachokitaka?.?????Sasa ukigoma una uhakika gani wa kupata kile unchokitaka?
Manesi wanapata shida zaidi ya madaktari, ni vizuri/lazima serikali iwajali watu wake.
Asante sana mkuu wangu lakini itawalazimu manesi wachukue hatua kusafisha hali ya hewa baada ya matamshi ya kijinga ya viongozi wao leo.Nasema wale waliojitokeza wote hawafai waliua chama cha wauguzi TARENA nashangaa kuna kitu kinaitwa TANA yule mwenye meno makubwa mwenye shati la pinki anaitwa Msele toka alivyomaaliza chuo hajawahi kukaa nje ya nyumba za Muhimbili kuanzia chai mpaka chakula cha usiku cha watoto wake anadoea kwenye majiko ya wagonjwa Muhimbili.
Mwambinghu ni manesi walioamua kujiunga na jeshi baada tu ya kugraduate ni muuguzi mkuu wa hospitali ya lugalo anaitwa luteni Kanali Mwambingu hata chuo alikuwa bogus kama alivyo sasa was not man enough, alikuwa banchi moja na luteni Chiku Galawa (Mkuu wa Mkoa wa Tanga) yule chief nursing officer ni sipukupuku ameuaa division ya nursing manesi wa siku hizi wako kama mahousegirls sio proffesionals.
Manesi hapo Muhimbili wamewahi kuanzisha mgomo ukasambaa nchi nzima na mambo mengi yaliboreshwa,Aibu kubwa chief nursing officer kuwa against na madakatari angalia bifu litakalokuwepo kati ya madaktari na manesi kwa sababu ya waapumbavu hao wa wwizarani na jeshini
Manesi wengine wawaunge mkono madaktari katika vita hii haipaswai kutangana Daktari na Nesi centre yao ni mgonjwa kwa hiyo madai ya madaktari yatawanufaisha na wao
naamini yule kiongozi wa manesi muhimbili anaweza hili jambo.ndugu magesa pale muhimbili ndiye alikuwa nurse student wa kwanza kuingoza serikali ya wanafunzu,huko nyuma serikali ya wanafunzi ilikuwa ikiongozwa na M.Ds pekee.ana mapungufu yake lakini hayajafikia ya hawa wachumia tumbo.asante sana mkuu wangu lakini itawalazimu manesi wachukue hatua kusafisha hali ya hewa baada ya matamshi ya kijinga ya viongozi wao leo.
Froida unaongea mpka povu linakutoka mdomoni.Nasema wale waliojitokeza wote hawafai waliua chama cha wauguzi TARENA nashangaa kuna kitu kinaitwa TANA yule mwenye meno makubwa mwenye shati la pinki anaitwa Msele toka alivyomaaliza chuo hajawahi kukaa nje ya nyumba za Muhimbili kuanzia chai mpaka chakula cha usiku cha watoto wake anadoea kwenye majiko ya wagonjwa Muhimbili.
Mwambinghu ni manesi walioamua kujiunga na jeshi baada tu ya kugraduate ni muuguzi mkuu wa hospitali ya lugalo anaitwa luteni Kanali Mwambingu hata chuo alikuwa bogus kama alivyo sasa was not man enough, alikuwa banchi moja na luteni Chiku Galawa (Mkuu wa Mkoa wa Tanga) yule chief nursing officer ni sipukupuku ameuaa division ya nursing manesi wa siku hizi wako kama mahousegirls sio proffesionals.
Manesi hapo Muhimbili wamewahi kuanzisha mgomo ukasambaa nchi nzima na mambo mengi yaliboreshwa,Aibu kubwa chief nursing officer kuwa against na madakatari angalia bifu litakalokuwepo kati ya madaktari na manesi kwa sababu ya waapumbavu hao wa wwizarani na jeshini
Manesi wengine wawaunge mkono madaktari katika vita hii haipaswai kutangana Daktari na Nesi centre yao ni mgonjwa kwa hiyo madai ya madaktari yatawanufaisha na wao
Kwa kuwa hatuna uhakika wa kupata usalama wa maisha yetu na clients kwa mgomo tuendelee kurisk maisha kwa uzembe wa watawala wanaofuja rasilimali za taifa???Hatujagoma lkn uamuzi tuachiwe sisi,tumechoka kutukanwa na wazazi.
manesi,clinical officers na assistant medical officers ndio waliochafua sekta ya afya.badala ya kudai maslahi yao kwa serikali wao wamebaki kuchukua rushwa kwa wagonjwa.ni bora ya madaktari waliogoma mara mia kuliko hawa wanafiki wasiogoma kwani huchukua rushwa na kuumiza watanzania.daktari aweza kumuandikia dawa mgonjwa lakini nesi anamchakachua kwa kutompa dawa inayostahili so sad!!tuangalie ni visa vingapi vya kupigwa wanavyovipata,mfano mzuri ni pale mwananyamala hospital ambapo leo tunaambiwa ni wema sana hawajagoma
manesi,clinical officers na assistant medical officers ndio waliochafua sekta ya afya.badala ya kudai maslahi yao kwa serikali wao wamebaki kuchukua rushwa kwa wagonjwa.ni bora ya madaktari waliogoma mara mia kuliko hawa wanafiki wasiogoma kwani huchukua rushwa na kuumiza watanzania.daktari aweza kumuandikia dawa mgonjwa lakini nesi anamchakachua kwa kutompa dawa inayostahili so sad!!tuangalie ni visa vingapi vya kupigwa wanavyovipata,mfano mzuri ni pale mwananyamala hospital ambapo leo tunaambiwa ni wema sana hawajagoma
Asante mkuu! Umenisaidia kumfahamu luteni kanali! Jamani wauguzi mpo wapi tuanzishe mapinduzi kwenye kada hii?Nasema wale waliojitokeza wote hawafai waliua chama cha wauguzi TARENA nashangaa kuna kitu kinaitwa TANA yule mwenye meno makubwa mwenye shati la pinki anaitwa Msele toka alivyomaaliza chuo hajawahi kukaa nje ya nyumba za Muhimbili kuanzia chai mpaka chakula cha usiku cha watoto wake anadoea kwenye majiko ya wagonjwa Muhimbili.
Mwambinghu ni manesi walioamua kujiunga na jeshi baada tu ya kugraduate ni muuguzi mkuu wa hospitali ya lugalo anaitwa luteni Kanali Mwambingu hata chuo alikuwa bogus kama alivyo sasa was not man enough, alikuwa banchi moja na luteni Chiku Galawa (Mkuu wa Mkoa wa Tanga) yule chief nursing officer ni sipukupuku ameuaa division ya nursing manesi wa siku hizi wako kama mahousegirls sio proffesionals.
Manesi hapo Muhimbili wamewahi kuanzisha mgomo ukasambaa nchi nzima na mambo mengi yaliboreshwa,Aibu kubwa chief nursing officer kuwa against na madakatari angalia bifu litakalokuwepo kati ya madaktari na manesi kwa sababu ya waapumbavu hao wa wwizarani na jeshini
Manesi wengine wawaunge mkono madaktari katika vita hii haipaswai kutangana Daktari na Nesi centre yao ni mgonjwa kwa hiyo madai ya madaktari yatawanufaisha na wao