Hivi Said Mwaipopo na Msopa washakuwa viongozi wa kiislam?hawo jamaa nawajua km pesa ni matapeli wakubwa!Kwanza hakuna taasisi ya kiislam inayoitwa Bahakita!ilo ni jina wamejitungia tu kwa kuwaibia waislam.watu km hawa ndio wanautukanisha uislam.Huyo Said Mwaipopo ashawahi kwenda congo akaritadi akatembezwa congo na maaskofu wakitangaza Shehe kutoka Tanzania kauona ukweli kaingia ktk ukiristo leo eti kawa Kiongozi wa waislam!!!!????