Mtaka Haki
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 492
- 149
Hivi karibuni Rais wetu aliwakemea viongozi wa dini kuhusu kuacha biashara ya madawa ya kulevya.
Kama ni kweli kuna viongozi wa dini wanauza madawa ya kulevya, unadhani njia gani ni sahihi kwa kiongozi wa nchi kushughulikia tatizo hilo?
Kama unadhani ni wachache tu wanaohusika na jambo hilo unashauri hatua gani zichukuliwe?
Naomba kuwasilisha.
Kama ni kweli kuna viongozi wa dini wanauza madawa ya kulevya, unadhani njia gani ni sahihi kwa kiongozi wa nchi kushughulikia tatizo hilo?
Kama unadhani ni wachache tu wanaohusika na jambo hilo unashauri hatua gani zichukuliwe?
Naomba kuwasilisha.