JosM
JF-Expert Member
- Oct 11, 2008
- 679
- 17
Viongozi wa DECI wamefikishwa mahakamani na kufunguliwa kesi ya kula pesa za wananchi,wamekosa dhamana na wamepelekwa rumande.
wenye habari zaidi mnaweza kutuhabarisha zaidi.
VIONGOZI WA DECI WAKIWA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU LEO, WAKIKABILIWA NA MASHTAKA MAWILI.
1. KUENDESHA NA KUSIMAMIA MRADI WA UPATU
2. KUPOKEA AMANA KUTOKA KWA UMMA BILA LESENI
wenye habari zaidi mnaweza kutuhabarisha zaidi.
VIONGOZI WA DECI WAKIWA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU LEO, WAKIKABILIWA NA MASHTAKA MAWILI.
1. KUENDESHA NA KUSIMAMIA MRADI WA UPATU
2. KUPOKEA AMANA KUTOKA KWA UMMA BILA LESENI
Last edited: