Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Lwakatare alipo amua mkasema Oh Chadema wanaisaidia CCM , leo mtasema CCM ...
Na Felix Mwagara
MWENYEKITI wa Serikali ya Mtaa wa Keko Machungwa Jiji Dar es Salaam wa Chama Cha Wananchi (CUF) pamoja na katibu wake wamerudisha kadi ya chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiambatana na wanachama wapya 203.
Tukio limetokea jana katika viwanja vya Bulyaga Temeke katika mkutano wa CCM ulioandaliwa na Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbass Mtemvu kwa ajili ya kuongea na wananchi na kutoa mambo ambayo ameyafanya katika jimbo hilo tangu alipopata ubunge.
Mwenyekiti huyo wa Cuf anayetambulika kwa jina la Zuberi Mahami pamoja na katibu wake Christina Giddo walisema wameamua kukihama chama hicho kwakuwa kimepoteza mwelekeo katika uongozi.
Sikuona ubora na uzuri ndani ya chama cha Cuf zaidi ya yale niloyaacha ndani ya Chama Cha Mapinduzi, nilikuwa ndani ya uongozi ndani ya Cuf kwa muda mrefu nikiwa mwenyekiti wa chama hicho Keko machungwa nimeamua kurudi ndani ya CCM kwakuwa huku ndiko kwenye ukweli alisema Mahami na kuongeza;
Natoa pongezi kwa wale wote waliokuwa wananiambia toka huko, njoo huku, kwa kweli viongozi mbalimbali wa CCM walikuwa wananiambia nitoke Cuf, nami nalikaa nikafikiria, nikaona hakuna umuhimu wowote ndani ya Cuf Kwa upande wake Mtemvu akiwakabidhi kadi za Chama Cha Mapinduzi viongozi hao wa Cuf pamoja na wanachama 203 wapya aliwapongeza kwa kukikimbia chama cha Cuf. [FONT=verdana,geneva,lucida,'lucida grande',arial,helvetica,sans-serif]
[/FONT]
Na Felix Mwagara
MWENYEKITI wa Serikali ya Mtaa wa Keko Machungwa Jiji Dar es Salaam wa Chama Cha Wananchi (CUF) pamoja na katibu wake wamerudisha kadi ya chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiambatana na wanachama wapya 203.
Tukio limetokea jana katika viwanja vya Bulyaga Temeke katika mkutano wa CCM ulioandaliwa na Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbass Mtemvu kwa ajili ya kuongea na wananchi na kutoa mambo ambayo ameyafanya katika jimbo hilo tangu alipopata ubunge.
Mwenyekiti huyo wa Cuf anayetambulika kwa jina la Zuberi Mahami pamoja na katibu wake Christina Giddo walisema wameamua kukihama chama hicho kwakuwa kimepoteza mwelekeo katika uongozi.
Sikuona ubora na uzuri ndani ya chama cha Cuf zaidi ya yale niloyaacha ndani ya Chama Cha Mapinduzi, nilikuwa ndani ya uongozi ndani ya Cuf kwa muda mrefu nikiwa mwenyekiti wa chama hicho Keko machungwa nimeamua kurudi ndani ya CCM kwakuwa huku ndiko kwenye ukweli alisema Mahami na kuongeza;
Natoa pongezi kwa wale wote waliokuwa wananiambia toka huko, njoo huku, kwa kweli viongozi mbalimbali wa CCM walikuwa wananiambia nitoke Cuf, nami nalikaa nikafikiria, nikaona hakuna umuhimu wowote ndani ya Cuf Kwa upande wake Mtemvu akiwakabidhi kadi za Chama Cha Mapinduzi viongozi hao wa Cuf pamoja na wanachama 203 wapya aliwapongeza kwa kukikimbia chama cha Cuf. [FONT=verdana,geneva,lucida,'lucida grande',arial,helvetica,sans-serif]
[/FONT]