MPALESTINA MWEUSI
Senior Member
- Jun 6, 2012
- 140
- 117
Sasa hiyo ndio siasa gani mbona sielewi hapa, hao viongozi walikwenda sokoni kwa ajili gani au hilo jimbo mbunge ni wa cuf, naona baadhi ya wananchi wanavuta bangi. Haingii akilini- lakini tujitahidi kutenda tuliyoyaahidi hata kama tuna mbunge mmoja bungeni mbona kafulila anawatoa kimasomaso nccr- tubadilike tuache kuzunguka kutafuta support hali ya kuwa wawakilishi wetu bungeni hawafanyi kitu- ukishindwa kuitumia fursa ndogo uliyopewa hata ukipewa kubwa hutoweza- hichi ndicho kitakachowaangusha wapinzani wengi wasipoamka mapema