Mods,hii sio tetesi,ni ukweli,naomba ubadili heading
waliokuwa wanaongoza huu uharamia ni Mb wa Sumbawanga Aishi pamoja na ester bulaya,wamehojiwa na kuachiwa
Kwa shinikizo kubwa kutoka kwa ccm,Polisi wamemhoji na kufanya search kwa Mkuu wa operation wa Chadema Mwita Waitara,ester alidai Waitara ndiye aliyepiga risasi juu,baada ya search hajakutwa na silaha yoyote
aliyekuwa na bastola na kupiga hewani ni mbunge wa Sumbawanga Aishi
Sante kwa kutujuza. Mungu yu pamoja nanyi mkuu!Mods,hii sio tetesi,ni ukweli,naomba ubadili heading
waliokuwa wanaongoza huu uharamia ni Mb wa Sumbawanga Aishi pamoja na ester bulaya,wamehojiwa na kuachiwa
Kwa shinikizo kubwa kutoka kwa ccm,Polisi wamemhoji na kufanya search kwa Mkuu wa operation wa Chadema Mwita Waitara,ester alidai Waitara ndiye aliyepiga risasi juu,baada ya search hajakutwa na silaha yoyote
aliyekuwa na bastola na kupiga hewani ni mbunge wa Sumbawanga Aishi
Mods,hii sio tetesi,ni ukweli,naomba ubadili heading
waliokuwa wanaongoza huu uharamia ni Mb wa Sumbawanga Aishi pamoja na ester bulaya,wamehojiwa na kuachiwa
Kwa shinikizo kubwa kutoka kwa ccm,Polisi wamemhoji na kufanya search kwa Mkuu wa operation wa Chadema Mwita Waitara,ester alidai Waitara ndiye aliyepiga risasi juu,baada ya search hajakutwa na silaha yoyote
aliyekuwa na bastola na kupiga hewani ni mbunge wa Sumbawanga Aishi
Miaka yote CCM inatuongoza haijawahi kumwaga damu.huu uchanguzi ccm itamwanga damu..
mlioko igunga tuambieni, naona mkuu Nanyaro hawezi ku update habari aliyoiripoti.
Miaka yote CCM inatuongoza haijawahi kumwaga damu.
Hawa CDM ndio wanahamasisha uwagaji damu.
Miaka yote CCM inatuongoza haijawahi kumwaga damu.
Hawa CDM ndio wanahamasisha uwagaji damu.
Kwa hali iliyo sasa CCM itadumu milele. Wanaojiita wapinzani hawana sera! Sera zao ni za msimu. Mfano Padri Slaa, alijichukulia umaarufu kwa suala la ufisadi. Sasa hivi hana tena tena kipya cha kuongea, na tayari anapotea kwenye ulimwengu wa siasaWalikuwa hawana sababu ya kufanya hivyo wakati huo coz walijua watadumu milele. Ukitaka kujua nguvu ya mlevi.......
Una ushaidi gani? Usiharibie hadhi JF kwa kucomment kitu usichokuwa na data.mwaka upi labda ulikuwa huja zaliwa kijana..sokoine, kolimba,salome mbatia siyo watu au wakati mnawaua mlidhani bata..
Nawashauri na wao waanze kumiliki bastola.