Tulishuhudia vitendo hivyo kule Igunga na sasa hapa Arumeru Mashariki, kule Igunga taarifa zilitolewa polisi lakini hakuna hatua zilizochukuliwa na polisi na hata pale ambapo vijana wa ccm, mh. Aeshi na Ester Bulaya walipotaka kuivamia hoteli Waliyopanga Viongozi wa Chadema na kutaka kuyachoma moto magari ya kampeni ya Chadema wakiwa na madumu ya petroli, polisi bado walilifungia macho suala hilo pamoja na ushahidi uliojitosheleza. Je tutegemee nini Arumeru Mashariki?
Tuendelee kuwaamini polisi au wananchi wachukue hatua ya kujihami wenyewe yasiendelee kutokea yaliyotokea Igunga?
Kwani dalili zimeanza kuonekana na polisi ndiyo hivyo.
Nawasilisha kwenu kwa mjadala.
Tuendelee kuwaamini polisi au wananchi wachukue hatua ya kujihami wenyewe yasiendelee kutokea yaliyotokea Igunga?
Kwani dalili zimeanza kuonekana na polisi ndiyo hivyo.
Nawasilisha kwenu kwa mjadala.