Viongozi wa Chadema walijuwa Mauaji ya Nyololo mapema

Viongozi wengine waliwahi. "Aliyechelewa" ni Dr. Slaa peke yake. We¨nzake mpaka kwenye picha za matukio wanaonekana, yeye ufunguzi wa tawi la kwanza "kachelewa", la pili pia "kachelewa". Logically, ilibidi ufunguzi umsubiri kiongozi mkuu, kuendelea kwa shughuli ilhali kiongozi mkuu hajafika ni ishara tosha kuwa ilifahamika kuwa kaingia mitini...

Akili kichwani...

Ila siku hizi umechuja kuna kipindi ulikuwa na thread kama mia-mia tatu hivi kumponda Dr Slaa sijui umepatwa na nini pole Kamhanda alitaka kumuua Dr Slaa kiu yake ilikuwa hiyo na hasira zake akamalizia kwa Daudi Mwangosi lakini pepo la Mwangosi litawachukua wengi
 
Chadema walitumia intelegisia ya aina gani kukawia kwenda kwenye ufunguzi wa matawi pale nyololo?ina maana walijua polisi wanawatafuta kuwaua au walijua kutatokea mauaji?na kama walijua hayo mapema je kulikuwa na haja ya kutaadharisha wananchi mapema kuwa kuna mambo yatatokea nyololo?

Je ni kwa nini walichelewa kufika kwenye eneo la tukio yaani kushiriki ufunguzi wa matawi??

Nashindwa kuelewa haya
Mungu aliwaokoa tu.Mbona watu wa ajali ya MV Bukoba kuna wengine walichelewa wakaachwa na meli na baadaye wakasikia meli imepatwa na ajali ya kuzama na watu wamekufa.Je watu walioachwa au kuchelewa kupanda ile meliwalijua kwamba ajali ya kuzama meli ingetokea?Kila jambo linapofanyika/kutokea Mungu ana sababu zake?
 
Ni kawaida kwa polisi kuua raia kwenye mikutano ya chadema
Mbona Kombe aliuawa yeye alikuwa CDM? maana yake ilikuwa ni dhamira kabisa. Askari walitoka watokako wakamsimamisha na gari lake akiwa na mkewe na kufyatua kifuani
 
Chadema walitumia intelegisia ya aina gani kukawia kwenda kwenye ufunguzi wa matawi pale nyololo?ina maana walijua polisi wanawatafuta kuwaua au walijua kutatokea mauaji?na kama walijua hayo mapema je kulikuwa na haja ya kutaadharisha wananchi mapema kuwa kuna mambo yatatokea nyololo?

Je ni kwa nini walichelewa kufika kwenye eneo la tukio yaani kushiriki ufunguzi wa matawi??

Nashindwa kuelewa haya
Mkuu naona unakurupuka soma hapa ujue matawi yalifunguliwa kama kawa na CHADEMA walikuwepo. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ushuhuda-wa-kilichotokea-hadi-kifo-chake.html
 
Hizi ni speculationa hazifai kwa watu hasa wanaojiita Great Thinkers. Wapelekee watoto.
 
Slaa ndio aliingia mitini baada ya kusuikia kuwa RPC kasema this time atadeal na viongozi, wenzake walikuwepo...

Kwa hasira kali, RPC akaona afanye mauaji ya kutisha ili kumkomoa Slaa !!
ZeMarcopolo, angalia vizuri picha za tukio.
Polisi walipiga mabomu ya machozi kwenye ofisi za Chadema ambazo zilikuwa zimefungwa !!
Hakukuwa na mkutano wowote wa hadhara, hakukuwa na maandamano yoyote, hakukuwa na fujo zozote !!
Kama ulivyosema mwenyewe, kulikuwa na ufunguzi wa tawi la Chadema tu. Yaani ufunguzi wa tawi la Chadema unamtia wazimu RPC mpaka anaamua kutoa amri mwandishi auawe !!!
Na wewe ZeMarcopolo na wenzako mnashangilia na kusherehekea mauaji haya !!!
Kumbuka : Atawalaye kwa upanga, hakika atakufa kwa upanga.
 
Chadema walitumia intelegisia ya aina gani kukawia kwenda kwenye ufunguzi wa matawi pale nyololo?ina maana walijua polisi wanawatafuta kuwaua au walijua kutatokea mauaji?na kama walijua hayo mapema je kulikuwa na haja ya kutaadharisha wananchi mapema kuwa kuna mambo yatatokea nyololo?

Je ni kwa nini walichelewa kufika kwenye eneo la tukio yaani kushiriki ufunguzi wa matawi??

Nashindwa kuelewa haya

Kwa kawaida katika shughuli za chama chochote viongozi huwa wanachelewa kufika......hawafiki pamoja na wananchi , wananchi huwa wanatangulia yhen viongozi wanakuja baadae!
 
Chadema walitumia intelegisia ya aina gani kukawia kwenda kwenye ufunguzi wa matawi pale nyololo?ina maana walijua polisi wanawatafuta kuwaua au walijua kutatokea mauaji?na kama walijua hayo mapema je kulikuwa na haja ya kutaadharisha wananchi mapema kuwa kuna mambo yatatokea nyololo?

Je ni kwa nini walichelewa kufika kwenye eneo la tukio yaani kushiriki ufunguzi wa matawi??

Nashindwa kuelewa haya

ukimaliza unachofanya nenda gereji iliyopo karibu, waambie wafunue kichwa chako wakaze tena hizo nuts,then mwite fundi welding achomelee zisiachie tena!unaabisha na post zako za chekechea!
 
Viongozi wengine waliwahi. "Aliyechelewa" ni Dr. Slaa peke yake. We¨nzake mpaka kwenye picha za matukio wanaonekana, yeye ufunguzi wa tawi la kwanza "kachelewa", la pili pia "kachelewa". Logically, ilibidi ufunguzi umsubiri kiongozi mkuu, kuendelea kwa shughuli ilhali kiongozi mkuu hajafika ni ishara tosha kuwa ilifahamika kuwa kaingia mitini...

Akili kichwani...
Nasikia kuna wakati polisi walimlazimisha atembee kwa miguu hadi hotelini huko Iringa,sasa shangaa why na wakati walipinga maandamano?inawezekana target ilikuwa yeye,sasa mmemkosa mnalialia.
 
Uchelewaji unaouzungumzia ulitokana tu na HALI YA UCHOVU tu kwa makamanda wetu kutokana na majukumu mazito kisiasa waliyoyatekeleza hapo siku ya jana yake tu.

Kuhusu swala la intelijensia au laa; wao wana dola na sisi kwa upande wa pili tunae Mwenyezi Mungu na rehema zake pekee. Ni kweli tunao habari jinsi gani kote kwingi huko, 'wao hao' tayari walishajipanga na Ma-Breaking News kwenye baadhi ya vyombo vyao lakini tukumbuke Mungu siku zote hapewi rushwa!!!!

Yeyote yule mwenye mazoea ya kuwachimbia wengine kaburi mwisho ataingia mwenyewe tu. Na Mkuu usisahau pia ya kwamba sisi wananchi kwa wingi wetu tunaweza yote (UWEZO TUNAO) katika yeye atupaye Nguvu!!!!


Chadema walitumia intelegisia ya aina gani kukawia kwenda kwenye ufunguzi wa matawi pale nyololo?

ina maana walijua polisi wanawatafuta kuwaua au walijua kutatokea mauaji?na kama walijua hayo mapema je kulikuwa na haja ya kutaadharisha wananchi mapema kuwa kuna mambo yatatokea nyololo?

Je ni kwa nini walichelewa kufika kwenye eneo la tukio yaani kushiriki ufunguzi wa matawi??

Nashindwa kuelewa haya
 
Viongozi wengine waliwahi. "Aliyechelewa" ni Dr. Slaa peke yake. We¨nzake mpaka kwenye picha za matukio wanaonekana, yeye ufunguzi wa tawi la kwanza "kachelewa", la pili pia "kachelewa". Logically, ilibidi ufunguzi umsubiri kiongozi mkuu, kuendelea kwa shughuli ilhali kiongozi mkuu hajafika ni ishara tosha kuwa ilifahamika kuwa kaingia mitini...

Akili kichwani...

Unaweza kuongeza swali jingine: Kwa nini polisi wasivute subra Slaa awasili wamlipue? Hapo ni polisi ndio waliotakiwa "kusitisha mauaji" baada ya "target" kushtuka! Hawakuwa wakifuatilia miondoko yake wajue atawasili wakati gani?

On a very serious note, kwangu mie, suala lingekuwa: IN THE FIRST PLACE,KWA NINI POLISI (SERIKALI) WAWE NA MPANGO WA KUUA? Hapo ndipo Watanzania wote tunatakiwa kuumiza vichwa. Hii ya CHADEMA kujua/kutojua si suala hata kidogo. Kama walijua basi wana intelijensia nzuri sana; it has served them well! Tuache kuendekeza/kuchekea utamaduni wa uovu nchini!
 
Ukionavideo za jinsi alivyouwawa haiwezekani mtu akajiandikia tutu na kuna mpaka Saudi za rpc akitoa maelekezo , ni mbaya sana .." poleni wote
 
Yeye kakimbia asidhurike ila wanachama anawaambia hakuna kukubali amri ya polisi "mpaka kieleweke"!!!

Akili kichwani...
mbona Raisi ana body guard, na ikitokea kitu yeye ndio anaondoka kiongozi ana baki? na wewe mwenewe ni mangapi katika maisha yako umesalimika, je ulijua juu ya hayo matukio au na wewe ulikimbia na kuwacha wengine waangamie?
 
Viongozi wengine waliwahi. "Aliyechelewa" ni Dr. Slaa peke yake. We¨nzake mpaka kwenye picha za matukio wanaonekana, yeye ufunguzi wa tawi la kwanza "kachelewa", la pili pia "kachelewa". Logically, ilibidi ufunguzi umsubiri kiongozi mkuu, kuendelea kwa shughuli ilhali kiongozi mkuu hajafika ni ishara tosha kuwa ilifahamika kuwa kaingia mitini...

Akili kichwani...

Kwa hiyo fulaha yenu ilikuwa Slaa auawe ili mapigano yaishe au?? Kama serikali ni wajinga na wanafikiri Slaa ni sawa na Ulimboka then wamfanyie Slaa waliyomfanyia Ulimboka ili tujue kama kweli 1 + 1 = 2.
 
Slaa alituma ujumbe kwa Mwema kuwa atayarishe risasi. Chadema jinsi walivyo wanaweza kuwa wamemtumia Polisi aliyeuwa au ni Daudi mwenyewe alijifunga bomu. Yote yanawezekana, Slaa Mungu kamuumbuwa na akatuma mwenyewe ujumbe. Huyo inafaa ashitakiwe haraka sana.

Mwema usimwache huy, ni teroorist na hiyo sms inabainisha kuwa sasa anatumia u terrorist baada ya kujuwa kuwa hii nchi hana ujanja wa kupata kura za wengi, hususan baada ya Watanzania wengi kutoridhishwa na vitendo vyake vya kutokuwa na maadili mema.
 
Kweli jf imeingiliwa na gt wa ajabu! Hivi kiprotokali ushawahi ona kiongozi mkuu anaingia wa kwanza? Itakuwa mpya ya jf!
 
Back
Top Bottom